tag:blogger.com,1999:blog-408418209259455211.post1167248364406240060..comments2024-02-23T11:37:04.040+03:00Comments on Kanumba The Great: HII SI YA KUKOSA JAMANI MWANZONI MWA MWEZI WA SITA TU PITA DUKANI UCHUKUEsteven kanumbahttp://www.blogger.com/profile/16633214696214112854noreply@blogger.comBlogger5125tag:blogger.com,1999:blog-408418209259455211.post-9579941031630288402010-05-07T11:39:40.760+03:002010-05-07T11:39:40.760+03:00what?? kanumba na wema,duh yani umenifurahisha san...what?? kanumba na wema,duh yani umenifurahisha sana hii si kitu ya kukosa.my gal wema,nawapenda sana mkiwa na wema katika movie mwaahhh!!!Anonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-408418209259455211.post-21587320881478091862010-05-07T11:20:43.617+03:002010-05-07T11:20:43.617+03:00mh inapendeza,
napenda sana kanumba uwe sambamba n...mh inapendeza,<br />napenda sana kanumba uwe sambamba na wema, mkiact pamoja mnapendeza sana, hata kipindi mpo wapenzi mlipendeza jamani! ila watu tu ndo walio waharibia,<br /><br />mi kiukweli kabisa nampenda sana wema jamani,jinsi anavo-act,alivomzuri hakuna mpz wa kanumba atakaekuwa mzuri na kumpendeza kanumba kama wema, na anamvuto kuanzia saut,shep,mavazi yanamkaa,yaani hutachoka kumwangalia,<br /><br />kumchukia wamchukie ila binti anasifa zote.nafurahi kusikia ameact na wewe tena.hakuna msichana atakae kupendeza kama wema bro,<br />ntaitafuta mpaka bac.<br /><br />aisha frm tbt.Anonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-408418209259455211.post-24479715973911414432010-05-07T10:34:43.047+03:002010-05-07T10:34:43.047+03:00kwenda huko?/usije ukawa umeiga ile yaNigeria? hi...kwenda huko?/usije ukawa umeiga ile yaNigeria? hivi hao wanaigeria ndio kina nani? haya basai nawao wameiga wapi? acheni roho za kwanii,jamani pendeni chenu lolooo. <br />Big up kanaumba kweli unajali kazi, uko na wema tena. kuna siku niliandika comment usimpoteze wema, kwani muvie zenu zinafunika kichizi. Big up kakaAnonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-408418209259455211.post-78955297980341867232010-05-06T19:47:10.119+03:002010-05-06T19:47:10.119+03:00Wewe umeshtukia eeee, lakini ndo hivyo tena tutaen...Wewe umeshtukia eeee, lakini ndo hivyo tena tutaendelea kukusupport Kanumba maana tunakupendaAnonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-408418209259455211.post-42066856001883882142010-05-06T14:57:46.991+03:002010-05-06T14:57:46.991+03:00mh usije ukawa umeiga ile ya Nigeria inaitwa Black...mh usije ukawa umeiga ile ya Nigeria inaitwa Black MariaAnonymousnoreply@blogger.com