Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Jan 16, 2011

FILAMU CENTRAL WALIVYOTOA TUZO KWA WANA FILAMU

Mtandao wa filamu maarufu wa filamu central kupitia mpambano uliokuwa ukiendeshwa humo,juzi waliwapatia washindi tuzo zao ambazo nami nilichukua zangu pamoja na mwanangu Jennifer. Proff.Martin Mhando akimkabithi JENIFER tuzo yake ya msanii bora chipukizi 2010 kupitia filamu ya This is it.

Jenifer akishukuru

Me na Jenifer tukifatilia mchakato

The great nikipokea tuzo zangu mbili toka kwa PROF.Martin Mhando ambazo ni BEST ACTOR na BEST PRODUCER(2010)

Nikishukuru

Uncle jj na Jenifer tukiwa na ushindi wetu

Mama mzazi wa Jenifer(rose)akishukuru kwa tuzo ya mwanae

Nikiwakilisha kampuni ya Game 1st quality ambayo imechukua tuzo ya kampuni bora ya usambazaji filamu nchini.

ALLY YAKUTI(kushoto)ndiye mwandishi bora wa filamu 2010 kupitia filamu ya CRAZY LOVE,MONALISA(kulia) ndiye BEST ACTRESS 2010.

Mgeni rasmi na mkurugenzi wa ZIFF,PROFF.Martin Mhando akitoa nasaha zake

Washindi

picha ya pamoja tuliobahatika

The great na Ally yakuti

Jenifer na Ally yakuti

Jenifer na tuzo yake

Stafford Kihore mmoja wa waandaaji wa tuzo hizi na pia stuff wa filamu central.

SWAHIBA nae akichukua tuzo zake tatu moja kama BEST DIRECTOR 2010,ya pili movie yake ya Danger zone imechukua tuzo ya kuwa na cover bora,ya tatu ni kampuni yake ya RJ kuwa kampuni bora ya utengenezaji wa filamu 2010.Hongera sana swahiba..

Akishukuru

Baada ya zoezi hili kulikuwa na makulaji kama unavyoona tukiwajibika

UZINDUZI WA MJOMBA BAND ULIKUWA BALAA

Bendi mpya ya msanii mwenzetu Mjomba Mpoto ilizinduliwa millenium tower nakuhudhuriwa na mastaa kibao. Mrisho Mpoto akicheza na mashabiki

Aliyekuwa mshiriki wa tusker project fame Aneth nae ni mmoja wa wanamziki wa mjomba bend

Ismail nae anaunda bendi hii kwa vocal kali sana

Musa wa kipindi cha uswazi nae alikuepo

The great nilikuepo

Wacheza shoo pia wamo

Mjomba akiwa na furaha

Swahiba akielezea furaha yake juu ya bendi hii na akielezea tatizo la umeme.





The great nami niliitwa mbele jutoa machache

Nikielezea furaha yangu juu ya bendi hii lakini pia nikisikitika kwa tatizo la umeme nchini

Riche Richie nae alikuepo

Wadau

The great na Q-chieff tukiteta jambo

Jan 8, 2011

HII KWA WADAU WOTE WA FILAMU NCHINI...

HAPPY BIRTHDAY THE GREAT.........

Mimi STEVEN CHARLES MESHACK KUSEKWA KANUMBA mzaliwa wa Shinyanga,Leo tarehe 8 mwezi wa kwanza 2011 natimiza umri wa miaka 27.Asanteni sana.
The great pioneer.

HII SI YA KUKOSA JAMANI...CELEBRITY PARTY NA AFRICAN STARS