Nimetembelea Hollywood hapa UNIVERSAL STUDIOS kuona mambo mbalimbali ya filamu za hapa hollywood,hii inakuwa mara yangu ya pili kufika hapa.
Hawa ni wasanii walioko maeneo haya ya UNIVERSAL STUDIOS.

Hollywood ndio hiyo,,,
Hii ni SOUND STAGE 12,ndiko kunakorekodiwa tv shows au scene za ndani katika movie
Nikishangaa kwa 3D namna alivyotengenezwa yule nyani wa KING KONG
Kwa wale wanaojua mambo ya blue au green screen mnaelewa kazi yake hiyo,hapo unaweza kushoot alafu katika editing ukawekwa sehemu yoyote.
katika movie movie wengi hushangaa magari yanawezaje kupaa na kulipuka?basi huu ndio utaalamu wao.hapa kabla
Director akisema action basi hali huwa hivi...

Hawa ni wasanii walioko maeneo haya ya UNIVERSAL STUDIOS.
Hollywood ndio hiyo,,,
Hii ni SOUND STAGE 12,ndiko kunakorekodiwa tv shows au scene za ndani katika movie
Nikishangaa kwa 3D namna alivyotengenezwa yule nyani wa KING KONG
Kwa wale wanaojua mambo ya blue au green screen mnaelewa kazi yake hiyo,hapo unaweza kushoot alafu katika editing ukawekwa sehemu yoyote.
katika movie movie wengi hushangaa magari yanawezaje kupaa na kulipuka?basi huu ndio utaalamu wao.hapa kabla
Director akisema action basi hali huwa hivi...



















































