Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Sep 14, 2011

MUONEKANO WANGU WA SASA.........










Sep 1, 2011

HARUSI YA MERCY JOHNSON YAFANA SANA NIGERIA

Harusi ya muigizaji maarufu wa Nigeria MERCY JOHNSON OZIOMA na mmewe PRINCE ODIANOSEN OKOJIE iliyofungwa jumamosi iliyopita katika kanisa la CHRIST EMBASSY mjini Lagos ilifana sana na kuhudhuriwa na mastaa wengi wa Nollywood hivyo kuvunja rekodi.Kabla ya harusi hii kufungwa kulikuwa na mgogoro mkubwa kati ya mke wa zamani wa PRINCE ODIANOSEN ajulikanae kama LOVELYNE OKOJIE aliyetoa pingamizi kuwa alishaolewa na hajaachwa pia amezaa nae watoto wawili na picha zao akatoa,lakini mambo yaliwekwa sawa na harusi ikafungwa vizuri tu. GENEVIEVE NNAJI akitoa wosia wake kwa Mercy,Genevieve ndiye aliyemfanya Mercy aingie katika uigizaji na miaka yote Mercy humuona Genevieve kama mwalimu wake katika sanaa hii.


Stephanie Okereke akiingia ukumbini


Kushoto ni muigizaji EMEKA IKE akiingia na kulia ni muigizaji wa Ghana Michel Majid wote walikuepo.


Msanii 2shots(kushoto)akiwa na muigizaji Mike Ezuruonye harusini.


Jim Ike(kushoto) na Keneth Okonkwo


Muigizaji wa Ghana Yvone Nelson(kushoto),Waje na Empress Njamah(Nollywood)


Comediana mfupi Nollywood Chinedu Ikedieze na mchekeshaji wa jukwaani AY.


Kanisani











Keki hiyooo

Aug 28, 2011

PICHA ZAIDI ZA HARUSI YA ZAKAYO MAGULU

SWAHIBA NA MAHARUSI


THE GREAT PIONEER


DADA JOHARI NAE AKISEREBUKA KIDOGO


GWANTWA NAE AKAFATA


MUZIKI KWA NAFASIIII AUNTY GWANTWA EZECKIEL NA MAHARUSI




GUDA BOY NA MAHARUSI


REHEMA MACHO NA MAHARUSI


RECHO NAE AKASOGEA KUPIGA PICHA NAO


NOVA a.k.a De la vonte sapreme mukulu wa bangoi akiteta na bwana harusi.


THE GREAT NA ZAKAYO


THE GREAT NA BI.HARUSI FARAJA


ZAWADI YA WASANII WA BONGO MOVIE ILIPELEKWA HIVI


BABU AYUBU AKICHEZA SEBENE SI SEBENE KIDUKU SI KIDUKU SIKUMUELEWA.

Aug 26, 2011

DEVIL KINGDOM HIIIIIYYYOOOO SOKONI TAYARI PATA NAKALA YAKO ORIGINAL....

IMEINGIA MTAANI LEO IJUMAA YAPATIKANA NCHI NZIMA KUANZIA LEO..........