Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Jun 11, 2010

THE GREAT OFISINI KWA MHESHIMIWA RITA MLAKI

Leo nilipata fursa ya kumtembelea mheshimiwa mbuge wa kawe mama Rita Mlaki ofisini kwake na kuongea machache kuhusu kazi zetu,katika safari hiyo niliambatana na production manager wangu MAYA....Katika mazungumzo yetu mheshimiwa alisifia kazi zangu nilizoshafanya kama OPRAH na HERO OF THE CHURCH.Hakika nilifurahi kupata nafasi hii ya kuongea japo kidogo na Mheshimiwa Rita Mlaki. Baada ya mazungumzo tulipiga picha ya pamoja kama hivi

Production manager wangu Maya nae hakuwa nyuma katika picha kama unavyomuona hapo katikati

The great na mheshimiwa

mheshimiwa mbuge wa kawe Rita Mlaki,Maya na The great pioneer

Akielezea jambo hapa

Haya kwaherini wanangu nimefurai sana leo kuwaona live maana nimezoea kuwaona katika TV tu na Africa magic plus tu.

THE GREAT NA ROSE NDAUKA KATIKA ''MORE THAN PAIN''

Hizi ni baadhi ya picha za movie yangu ninayoiandaa kwa sasa ambayo ndani yake yumo Rose ambae sijawai kucheza nae movie moja hadi hii ndio inakuwa ya kwanza hakika ni mkali sana. Hapa akiweka jokes kidogo ile style ambayo mimi na swahiba hupenda kucheza

yeeeeeesss

nice

mmmh





Jun 9, 2010

Swahiba Kutoka Unique Enter Tanzania, awakilisha...

Tembelea Blog ya Unique Enter TZ kwa masuala yote yahusuyo Sanaa, Urembo nk..

KANUMBA THE GREAT FILMS KAZINI KWELIKWELI.

Nikiipitia tena script vizuri sana kabla ya kuanza kushoot

Tukishirikiana na Lisa Jensen katika baadhi ya mistari kuinyoosha kulingana na location


Nikisikiliza line za mtoto katika script kama kashika

Tukimshangaa mtoto jinsi alivyokariri mistari yake katika script

Ebu tizama hisia za huyu mtoto mdogo anafunika hata watu wazima.

Maya akini make up...maya ndiye make up artist wangu na production manager wa kampuni yangu.

Ally Yakuti mwandishi wa script ya movie hii akisikiliza kwa umakini rehasal inavyokwenda kuona kama script yake inatendewa haki

Mzee Zungwa na Mama Grace Mapunda nao wamo katika movie hii ya MORE THAN PAIN

Baada ya rehasal sasa makamuzi..

Kama kawaida yangu The great kuibua vipaji vipya hasa watoto kama nilivyofanya katika THIS IS IT mtizame na huyu mtoto ambae ki umri ni mdogo sana ila check alivyowiva

Tizama mwenyewe laiti ungeona live wakati wa kushoot ungelia kama wengine walivyoshindwa kutizama na kubaki wakilia..huyu mtoto kaliza sana watu hapa location

Jun 8, 2010

KANUMBA THE GREAT FILMS MZIGONI KWELIKWELI

Maandalizi ya scene ya nje

The great na Lisa Jensen katika scene


Baada ya scene picha ya pamoja

Mtoto akiandaliwa kwa kuwekewa damu kabla ya kushoot

Ajali ajali

The great nikihaha baada ya mwanangu kugongwa na gari


Nini hiki jamani?ooh

Nilitembelewa na mdau mkubwa wa RJ COMPANY na KANUMBA THE GREAT FILMS mheshimiwa Ino Bachard.

Kishindo cha gari kilitushtua ikabidi tutoke nje kuona kumbe mwanangu chali

The great na Mheshimiwa Ino Bachard aliponitembelea location kwangu.

May 31, 2010

THE GREAT NA ADOLPHE DOMINGUEZ WA WENGE MUSICA

The great niliamua kumtembelea hotelini alipofikia mwanamziki mkongwe kutoka CONGO ambae pia ni muasisi wa wenge musica bcbg kabla ya kujiengua na kuunda kundi lake la wenge tonya tonya,nikaamua kumtoa kidogo kwenda sehemu kadhaa kama... Hapa ilikuwa katika studio za GRM PRODUCTION tukipiga picha za kumbukumbu ambapo pia video camera ilikuwa ikishoot ambayo nayo nilimpatia aondoke nayo.


Hapa akiwa na mkurugenzi wa GRM PRODUCTION Nd.G.Makupa ambae zoezo zima la picha aliliongoza yeye hapo studio.

Hapa nikimkabithi zawadi ya simu mpya kama kumbukumbu pindi afikapo kwao

mdau,adolphe,the great na G.Makupa kwa pamoja baada ya kumpatia zawadi ya simu Adolphe

Hapa nikimkabithi zawadi ya movie yangu mpya inayosumbua kisawaswa THIS IS IT 1&2 ambayo aliomba maana kwao bado haijafika

kwa pamoja tukiimba wimbo wake wa VOYAGE alioutunga na kuimba zamani akiwa na wenge bcbg akiwa na JB MPIANA,BLAISE BULA,WERRASON,AIMELLA,ALLAIN MPELLA,ALLAN MAKABA,nk.

aliniomba kabla ya kumkabithi movie zangu nisaini kwanza nami nikafanya hivyo

Nae pia baada ya kumrudisha hotelini alinipa zawadi ya albam yake mpya aliyoimba na KOFFI OLOMIDE(audio na dvd)inayoitwa SUSPENSION

Hii ni moja ya picha tulizopiga na kuzikuza na kutoa picha kubwa2 ambazo kwa upande wake alisema anaenda kupamba nyumbani kwake lakini mimi nilisema ntaweka ofisini kwangu ambapo nilimpitisha akapaona.