Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Feb 15, 2010

Leo nimetembelea Location ya Swahiba wangu kumtia moyo na Kazi ngumu ya Shooting ktk movie yake mpya chini ya RJ COMPANY. Si mwingine ni VINCENT KIGOSI (RAY)



Nice Chande & Innocent Bachard wakifurahia jinsi shooting inavyokwenda

Mi, Docta Cheni na Johari. Furaha na Tabasamu kazi yaenda vizuri

Mdau Chime Chande & Nice Chande wakiwa katika set kabla ya kushoot
Leo Swahiba alisumbuliwa sana na Umeme, Taa zilikuwa hazipati mwanga wa kutosha kama mnavyoona akirekebisha

Crew ya GRM PRODUCTION ndio wanaomshutia The Greatest

Irene Uwoya Ndikumana mara baada ya kumaliza kushoot scene mojawapo. Jamani huyu Dada anakamua ile mbaya kwa sasa zaidi ya mwanzo


Uwoya na Johari

Uwoya na mimi pozi la pamoja. Jamani Irene hilo tumbo ni Mimba ya kutengeneza kwa ajili ya movie hiyo, hana mimba yoyote.

Chime Chande & Nice Chande ktk moja ya Scene

Mi na Nice Chande - Location.

Innocent Bachard na Nice Chande

Dr. Cheni na Uwoya ktk Scene (Cheni anafurahisha sana katika hii scene)

Feb 14, 2010

FC Lupopo yatuadhiri watanzania

Mrisho Ngassa wa Dar Young African (Yanga) akichuana na mchezaji wa St. Eloi Lupopo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika mchezo uliopigwa katika uwanja Mkuu wa Taifa jana. Lupopo waliondoka na kitita cha magori 3-2 dhidi ya Yanga, ambapo katika mchezo mwingine watarudiana katika mji wa lubumbashi wiki mbili zijazo.

Katika mchezo wa jana Yanga ilicheza kandanda safi sana labda pengine kama sio umakini wa washambuliaji wa Yanga wangeweza kutoka na jumla ya magori zaidi ya 5.

Napenda pia kuwaasa watanzania wenzangu hebu tuacheni usimba na uyanga katika mashindano ya kimataifa kwa manufaa ya soka la nchi yetu kwani kila siku tutakuwa tunatia aibu katika mashindano haya ya kimataifa. mi nadhani kama sio support ya baadhi ya mashabiki wanaoaminika kuwa wa simba wale jamaa sidhani kama hata wangekuwa na nguvu ya kushinda hata hayo magori matatu kwa jinsi walivyokuwa wameshikwa. Jamani tuipende NCHI yetu!!

Feb 12, 2010

Jamani Kesho tuwape support Vijana wa Jangwani

   VS    

Dar Young African (Yanga) kesho inajitupa uwanjani kukabiliana na vijana kutoka kwa mzee kabila wanaojulikana kama Saint Eloi Lupopo, Kesho The great nitakuwa uwanjani nikiwapa Tafu vijana wetu ili waweze kutoka na ushindi mnono kwa hawa wajamaa wanaojitambi na Mchezaji wao, Eti Ndume wa Ndume!! kama hajawa Njike wa njike. Kila la Kheri YANGA.

Feb 11, 2010

SIKU ILIYOFUATA THE GREAT NA TUVI JAMES TULIALIKWA KUTEMBELEA OFISI ZA MNET NA AFRICA MAGIC.

Nikisaini autograph ya Sophy mmoja wa wafanyakazi wa mnet.

Tuvi kachoka kusaini kaamua kupozi kidogo kwa picha.

The great na Tuvi tukisalimiana na bi Hamida Suleiman mkurugenzi wa Africa magic plus.

Hamida akimsifia Tuvi katika moja ya filam zake Nigeria.

Tuvi na Biola mkurugenzi mtendaji wa mnet.


kama kawaidaaaaa

me na kiongozi wa idara fulani mnet

nikisaini autograph zenye picha yangu

The great,sophy,Tuvi na Natasha.ilikua furaha sana siku.

The great na Natasha ofisini kwake...ofisini kwake amepamba picha yangu na ya Tuvi james tizama juu ya picha hii upande wa kushoto.Ila jamani mtoto mrembo huyuuuuu ahahahahah jamani Nashon upo??

autograph na picha ya pamoja...

swahiba akinitumia ujumbe mfupi wa salam.

autograph na picha kama kawa...

kutoka kushoto ni Biola Alabi katikati ndiye Nashon ambae movie zetu nyingi hupokea yeye na wasanii au producer wengi wa movie hapa huwasiliana na huyu jamaa ambae ni shabiki mkubwa sana wa movie za Aunty Ezeckiel,mwisho Tuvi.


Tuvi nae alikua busy na kusaini saini autograph za warembo wa mnet na Africa magic.

The great na Ernest mmoja wa ma producer wa movie Nigeria anayeishi Africa kusini baada ya biashara ya madini kumnogea...alinialika msosi kidogo masaa machache kabla sijakwea pipa kurudi bongo.

kwaheri rafiki yangu ni furaha kubwa sana kukutana na wewe huku tuzidi kuwasiliana kwa nr hii nigeria234............na hapa SA ni 277..........msalimie yule rafiki yako ambae huwa nawaona sana ktk Africa magic plus hasahasa filam ya O'PRAH.Mungu akipenda ntapenda siku moja niwakutanishe pamoja mcheze picha moja na JIMY IKE wa Nigeria maana nae anawapenda sana na ni rafiki yangu mkubwa..hayo yalikua maneno ya Ernest.

Feb 7, 2010

SIKU THE GREAT ALIPOTUA SOUTH AFRICA KWA AJILI YA KUSHIRIKI BIG BROTHER REVOLUTION....mengi yalisemwa sasa huu ndio ukweli.

THE GREAT na watoto wa shabiki wangu wa South Africa(Thandiwe)nje ya hotel niliyofikia ya DON SUITE.

Me,Thandiwe na wanae...hapa nilivunja sheria kidogo maana kabla ya kuingia ndani ya nyumba ya bba sikuruhusiwa kuonana au kupiga picha na shabiki yoyote.

shabiki mkubwa wa filam zangu(BUYI) ambaye ni raia wa huko akinipa zawadi ya glass zenye jina langu nje ya hotel...Thank u buyi.

KANYE MBAU,THE GREAT PIONEER,NA NONHLE NTHEMA..tukiingia katika mkutano katika ofisi za kampuni ya ENDEMOL siku moja kabla ya show ya bba.

THE GREAT NA NOHNLE KATIKA POZI.

KANYE NA THE GREAT.

THE GREAT NA ERNEST..huyu ndiye aliyekua akisimamia mambo yote ya usafiri toka airport,hotelini,endemol,mnet.n.k

edward maphophe na the great...huyu ndiye aliyekua production manager wa endemol katika bba mara kadhaa nilikua nikiwasiliana nae kabla ya kutua SA.

THE GREAT NA MKURUGENZI MTENDAJI WA MNET-AFRICA  BIOLA ALABI HAPA ALINIALIKA OFISINI KWAKE KWA MANYWAJI NA MAONGEZI KIDOGO.

BIOLA ALABI NA THE GP.

TUVI JAMES,LIZA KLEITMAN,THE GP NA BIOLA ALABI ofisini kwa biola masaa mawili kabla ya kuingia ktk jumba la bba.HUYO MZUNGU NI LINE PRODUCER WA ENDEMOL ndiye wa kwanza kunitumia e mail ya kuniomba kuhudhuria bba wakati huo nilikua UK nikishoot filam ya lovely gamble baada ya hapo alinipigia mara kwa mara ili kunipa habari juu ya mpango mzima.swali kwa wenye lugha yao..je tulikua tunaelewana?kama hapana niliwezaje kufika hapo?ahahahah

The great na Tuvi james tukielekea chumba cha make up kwa ajili ya kupakwa make up na kubadilisha nguo tayari kwa kuingia mjengoni kama starmet 

kanye mbau,the great,nonhle nthema na tuvi james dakika kama 5 baada ya kutoka ktk jumba la bba na kuingia moja kwa moja ktk ofisi za endemol.

ALIYEKUA MTANGAZAJI WA BBA REVOLUTION(IK) AKITUDAKA KWA AJILI YA MAHOJIANO MAFUPI MIMI NA TUVI BAADA YA KUTOKA NDANI YA NYUMBA..

HUYU NDIE ALIKUA DIRECTOR WA SHOW YA BBA REVOLUTION JINA NIMESAHAU KIDOGO MAANA NI GUMU TUKIPATA PICHA YA PAMOJA OFISI ZA ENDEMOL..KABLA NA BAADA YA KUINGIA BBA TULIKUA NA MAONGEZI NAE JUU YA SHOW HIYO.SWALI KWA WENYE LUGHA YAO JE TULIELEWANA???KAMA HAPANA ALIWEZAJE KUNIRUHUSU KUINGIA NDANI YA JUMBA WAKATI CELEBRITY WAKO WENGI AFRICA???

THE GREAT NA TUVI TUKIWA NA BRIAN KATIKATI OFISINI KWAKE TAYARI KWA KUPEWA KIFUTA JASHO CHETU JUU YA USHIRIKI WETU NDANI YA BBA.

TULIPOTOKA MJENGONI TULIRUDI HOTELINI KUPATA MSOSI NA KUANZA KUWATIZAMA WASHIRIKI WA BBA WALIVYOKUA WAKITUZUNGUMZIA KTK TV.NAISHIA HAPA ILA NTAENDELEA TENA.UJUMBE WA THE GREAT KWA JAMII NA BAADHI YA VYOMBO VYA HABARI....according to G.C.LINCHTBEGER...." The most dangerous  of all falsehood is a slightly distorted truth....according to SAMUEL TAYLOR COLERIGDE..."He who begins by loving christianity better than truth will proceed by loving his own sect better than christianity and ends by loving himself better than all....only truth will set us free.

Feb 4, 2010

Jinsi Bonanza llivyoenda J'2 iliyopita...

The Great akiwa na Pacho Mwamba wakijaili jambo katika bonanza...

Wadau wakiwa wamepandwa mzuka na Bendi ya Diamond Musica ilipokuwa inatumbuiza

The Great (Kati) akiwa na Immaculate (kushoto) pamoja na Thea (kulia) katika pozi..

Wadau wakiendelea kupata burudani kutoka kwa bendi ya Diamond Muzika, shoo nzima (Bonanza) iliandaliwa chini ya Udhamini ya tiGO

Feb 2, 2010

THE GREAT NDANI YA ZIZZOU FASHION....

NIKAPEWA NA ZAWADI YA THE FULANAAAAS...YENYE JINA LANGU.

lile shati zuri sana kwa kushootia sijui nilibebe?
mmmmmmmh??Tippo kashusha vitu vikali kwelikweli.
hapo vipi?wapi swahiba...the.....st.ahahahahh

MATOKEO YA IRENE UWOYA vs AUNT EZEKIEL

Irene Uwoya jamani ndio mshindi wetu kutokana kuwa na kura nyingi kuliko aunt Ezekiel
The Great nakupa hongera dada yangu Mrs. Ndikumana