The great nimesharudi bongo ambapo kwa takribani siku kadhaa nilikuwa mjini Nairobi-Kenya nikirekodi tangazo la ZANTEL,na hizi ndio picha wakati nikirudi.

The great na Boby aliyekuwa msimamizi wangu wa shughuli nzima

Baadhi ya models waliokuwapo nao wakirekodi matangazo mengine kuanzia kushoto EVA,IMACULATE,MZEE MWAKYUSA

Eva model

Imaculate model

Michael model

Kenny,Zamda na Michael

Ndege tuliyokuja nayo
5 comments:
huyo zmzam anapenda kuvaa skin tight mpaka anaoa habadilikitangia malapa jamani
big up zamzam....hata akivaa chupi wewe inakuhusu nn??mind ur bisnes
hata akivaa chupi haikuhusu wewe paka
nimempenda michael model, nipe namba zake au wapi anapatikana ? plzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
nimempenda michael model , anamuonekano mzuri sana [mvuto]
Post a Comment