
Mfano wa camera zilizowahitumika hollywood

katika madame tussads(hollywood) ipo pia sanamu ya michael jackson

hapa hutumiwa kama bahari,ziwa au mto ambapo huwekwa kimeli kidogo na sanamu la shacks na shooting kuendelea ambapo huonekana kama bahari kubwa.

hapa ndipo aliposhutia Tom Cruess katika movie ya WAR OF THE WORLD kama ndege iliyopata ajali.lakini si kweli bali hapa pametengenezwa na kuonekana hivi.

Humu ndani ndipo kuna maonesho ya technology ya SKYNET iliyotumika katika movie ya TERMINATOR 2

Jumba la kutisha na lenye maajabu kama huwa unatizama picha za vampire basi tizama picha chini hapa..
10 comments:
thanx bro tumefaidika wengi maana nilikua na hamu sana kujua mambo hayo sasa at least nimefumbuka....mungu akujalie ufike maeneo mengine ambayo hujafika na unatamani kufika.thanx
kaka kwa kweli hongera sana, na asante pia maana umetupa vitu hadimu na ambavyo sikutegemea kupata, kwa kweli nimejifunza mengi sana mana, Mungu akutangulie kwa kila jambo.
SAFI SANA KAKA YANGU
BIG UP THE GREAT
THANX BROH UMETUFUNGUA AKILI
I LOVE U KANUMBAAAAAAAAAAA
WEMA ALIKUWA HUKO KASHINDWA HATA KUFIKA MATOKEO YAKE ANATIA AIBU HUKU BONGO NA DIAMOND WEMA HOVYO
Saa WEWE Wema katoka wapi katika habari hzi??????
Jua Wema ni Wema na atabakia kuwa Wema!!!!!!!!!
Tunajifunza na kuzungumzia habari za kimaendeleo ya filamu jamani hatumzungumziii Wama hapa
KANUMBA UPO JUU YANI HII ZIARA IMEZIDI KUONYESHA UPEO WAKO UKOJE BIG UP FUNIKA BOVU
nahisi ulienjoy sana na tunashukuru kwa kutuonyesha mmbo mengi na ya muhimu kweli penye nia pana njia ubarikiwe.
meggie impostra
Post a Comment