
Wasanii wote wa movie tuliitwa mbele kusalimia na kuwaaga mashabiki wa Zanzibar

Aunty na Jacque Wolper

Kama kawaida yake Steve Nyerere haishi kwa vituko

The great niliwaaga mashabiki kwa staili hii bila kuongea..

Kwaheri Zanzibar....

Steve Nyerere akaanza kuigiza sauti za viongozi...

Hapo akimuigiza Mheshimiwa Maalim Seif kwa kusema ''hakiiiii......sawaaaa....sawasawa.....watu walicheka sana hapa...
1 comment:
steve mchafu embu ajipende na yeye hamuwaoni wasanii wa west africa wanavaa classic na kujipenda yani yupo yupo tu
Post a Comment