
Msanii kutoka Kenya Nameless akitumbuiza na madansa wake kwenye jukwaa la EPIQ NATION coco beach jumapili iliyopita.

Chidi Benz akiwarusha mashabiki wake wakati wa tamasha la EPIQ NATION coco beach

Baadhi ya wafanyakazi wa ZANTEL wakila shangwe katika tamasha la EPIQ NATION

Msanii wa kike MWASITI nae alikuepo kuwasha shangwe katika tamasha la EPIQ NATION coco beach hapo

Palikuwa hapatoshi coco beach,EPIQ NATION....JANJARUKA NA KREW MPYA MTAANI
No comments:
Post a Comment