Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Jul 16, 2011

ZANTEL YAANDAA TAMASHA LA WAZI LA MUZIKI KUPITIA OFA YAKE MPYA YA EPIQ NATION.

Msanii kutoka Kenya Nameless akitumbuiza na madansa wake kwenye jukwaa la EPIQ NATION coco beach jumapili iliyopita.


Chidi Benz akiwarusha mashabiki wake wakati wa tamasha la EPIQ NATION coco beach


Baadhi ya wafanyakazi wa ZANTEL wakila shangwe katika tamasha la EPIQ NATION


Msanii wa kike MWASITI nae alikuepo kuwasha shangwe katika tamasha la EPIQ NATION coco beach hapo


Palikuwa hapatoshi coco beach,EPIQ NATION....JANJARUKA NA KREW MPYA MTAANI

No comments: