Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Jul 25, 2011

''DEVIL KINGDOM''prince of the world........tuonane mwezi wa nane sokoni...

Patrick nae yumo


Patrick kazini











SWEBE nae yumo ndani ya movie hii......sokoni mwezi wa nane jamani.....

5 comments:

Milka Richard said...

Wweeeeeeeeeeeeee!Afwadhal kaka,make 2mesubili sna.nataman iwe hata kesho,hope itakuwa bonge la muvi kulingana na picha za baadhi ya scene ulizokwisha 2onyesha

Anonymous said...

Kanumba brotha hongera for the good job japo naomba unisaidie kujua ni muda gani huwa unakaa kufikiria na kutunga stori coz its like kila siku mnashoot video mpya...ni majuzi tu umemaliza kushoot ila pamoja na ramsey na here again upo na nyingine hata ile kuna wengine bado hawajaipata....if i were to advice atleast ungekuwa unatoa muda kati ya movie na movie ili angalau tufaidi moja at a time na upata muda mzuri wa kutunga nyingine....goodluck

Welongo M. said...

Hey Kanumba, I am very delighted to see your movies. I am a congolese young man living in Nairobi and I normally you films challenging and inspiring. May God help you keep your talent higher and higher. ONE THING, DO NOT FORGET TO SPEND A PART OF YOUR EARNINGS TO CHARITY!!

muzabelwelongo@yahoo.com, w.muzabel@hotmail.com

Anonymous said...

Nakushuruku aaaaaaaaaaa,
Nakushukuru sana kwa kuwakumbuka wenzio wa zamani

Wakumbuke na wengine wengi hasa natasha ni mama mmoja mzuri sana katika movie na yule dada mchezo wa mwisho ali act kama mtoto wa kambo akaja kuolewa na Frank wakati wadogo zake walikuwa wakifanya kazi na frank wakiwa na matarajio ya kuolewa na Frank.

Yuko vuzuri sana yule dada

Goodluck

joff Mulenga said...

dah naona mjomba swebe mambo sio mabaya ,dah kazi nzuri kiukweli hii move kaka ume improve sn utawakimbiza TZ mpk africa yote akina ramsey wajipange mana tz tunakuja ss