Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Jul 6, 2011

THE GREAT AMTEMBELEA KRISTIN DAVIS HOTELINI KUMUAGA

The great alimtembelea muigizaji wa SEX AND THE CITY(KRISTIN DAVIS) kabla ya kuondoka kurudi kwao,The great alifika katika hoteli aliyofikia msanii huyo na kumtakia safari njema msanii huyo aliye pia balozi wa OXFAM Marekani,The great ni balozi wa OXFAM hapa nyumbani bongo. Kristin akishukuru na kuniomba kama mambo yatakwenda vizuri atakuwa na ziara hivi karibuni nchini Angola,Namibia na Sudan kwa ajili ya akina mama maskini chini ya OXFAM hivyo angependa tuwe wote katika ziara zote hizo,nikamjibu haina neno kwa maana pembeni yangu niko nae bosi wangu toka OXFAM-Marc Wegerif anasikia.


Kwa mda mfupi tu aliokaa hapa alitokea kuwa rafiki ambaye kila mstaarabu angependa kuongea nae.


Kristin Davis akiwa na msaidizi wangu Seth Bosco.

5 comments:

Anonymous said...

babu kanumba lugha ya mwili ya mtoto inasema, naona kaanguka kama unasubiri akuanze haya,lakini unaweza anza wewe taratibu

Anonymous said...

mh! huyo Kristina mwenyewe anaonekana kudata sana kwako ngoja tu tusubiri kusikia mengine mana na wewe kwakucheza na nyeto tu Kanumba hujambo! haya bana ila ujumbe umefika.

Anonymous said...

kristin alihojiwa uk,katika kipindi cha this morning,sujui kama kwenye you tube ipo,alikuwa analia kwenye interview yake,na kusikitika maisha aliyoyaona nchi za africa,alisema kwa upande wake she is so lucky,alisema watu wanaishi maisha ya tabu sana.ila huku uk,yapo maduka yanauzwa nguo za mitumba.duka la oxfam vitu vyake ni quality

Anonymous said...

WE KANUMBA MALAYA TU WEWE UNAJISEMESHA ILI WATU WAONE KUWA MZUNGU KAZIMIKA KWAKO HUNA LOLOTE KAENDELEE KUTOMBA VIDEMU VYAKO HUKO VYA BONGO ULIVYOZOEA KUWAHONGA VJIZAWADI VYA KIZUSHI ALAFU UJIANDAE KUANGAMIA KWA VIRUSI CHOKO WEWE UNAIGIZA VIZURI ILA UMAMALAYA UNAKUHARIBIA SIFA!MSHIKAJI TENA NASIKIA ULITOKA NA DEMU WA MHESHIWA MMOJA JINA KAPUNI ANAKUSAKA AKUSHIKISHE ADABU UBAKI BILA NYETI!KUBWA ZIMA OVYO!

Anonymous said...

WE NAE UMEKOSA CHA KUSEMA ULITAKA AKUTOKEE WEWE AU? MTU MZIMA HOVYOOOOO ANGEKUWA MALAYA ANGEKUWA NA WEMA SASA