Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Jul 3, 2011

PICHA ZAIDI ZA UZINDUZI WA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2011

Ngoma ya asili toka kwa akina mama wa kijiji cha makumbusho


Mzuka ukanipanda nikaingia uwanjani kukumbushia enzi zile niko Kaole sanaa group


Imetosha nikakae sasa


Mama anayewakilisha akina mama wakulima akitoa machache


Marc Wegerif toka OXFAM akitoa risala fupi


Marc akipiga chabo kidogo jinsi The great na Kristin Davis tulivyoshikana mikono





Picha ya pamoja


Tukipiga picha karibu na mfano wa tuzo yenyewe


Kristin na dada aliyechonga hicho kinyago


The great na Kristin


Picha ya pamoja na wafanyakazi wa OXFAM


picha ya pamoja na kikundi cha ngoma cha akina mama wa makumbusho ambao walikuwa wakitutumbuiza hapo


Kulikuwa na chakula cha asili toka kijiji cha makumbusho-kijitonyama.

2 comments:

Anonymous said...

AISEE BRO UJE UZAE NA MZUNGU NISHAONA MTOTO ATATOKA VIZURI SANA BRO NI MTAZAMO WANGU BRO WANGU

Anonymous said...

kaka kanumba mimi dada yako wa shinyanga naunga mkono hoja ya mwandishi aliepita wanawake wa bongo unawajua ni watanzania wenzetu lakini ! yataka moyo!ukipata nafasi lifikirie na hilo. asante.