Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Mar 5, 2011

THE SHOCK'''''YAZIDI KUBORESHWA LOCATION.

Hidaya Njaidi(mama mzazi wa mtoto Patrick katika THIS IS IT) nae yumo katika THE SHOCK

Mazoezi kidogo The great na Beny.

The great na SHAZ

Kikazi zaidi...

Winter msanii toka kundi la fukuto kwa mara ya kwanza ndio naanza kufanya nae kazi

Mmiliki wa mjengo huu tunaoshutia na mimi kwa pamoja

Peace and love from Shaz.

Actionnnnnn............

ki kazi zaidi...





The great na Winter mzigoni..

Winter na mimi katika montage scene...

5 comments:

isaackin said...

sawa bwana na haowachumba,lakini bwana kanu unajua kama BENNY ni msanii mzuri sana na mtaalam haswa wa kuigiza??nashindwa kuelewa kwanini huyu jamaa hashiki chati katika muvi zenu hizo,huyo BENNY mimi nadhani anaigiza vizuri kuliko wote nyinyi wewe,ray,sijui nani huyu bwa mdogo anawaacha sana.sema tu hamumpi nafasi,at least namuona ona saa hizi umemtumia na ray kamtumia.endeleeni kumpa shavu huyu jamaa anajua kazi achaneni na masharo-baro.

Anonymous said...

hii inaonekana itakuwa kali sana kina uyowa na ezekiel hawaoni ndani kwa huyu winter moto bati mashalaa mtoto anarangi ya iliyoiva hakika kanumba unajua kuchagua watoto wazuri

Anonymous said...

kanumba anapenda wapaka mikorogo tu..winter hana uzuri ni rangi ya mkorogo angalia miguu yake.

MRS KAISI said...

USHAURI WANGU KWAKO UNGEMTUMIA YULE SISTER ALIYECHEZA NA CHENI KWENYE POOJA ASEE NI HALISIA KABISA SIO KM WENGINE WANAIGIZA...YULE YUPO JUU ANAITWA MARIAM MNDEME ANACHEZA KAKA UKIWA NAE ITAKUWA POA SANA MAANA ITAKUWA NA UTAMU KAMA TUKO KWA WENZETU SIO HAWA WAUZA SURA WENGINE...LAKINI KANUMBA UPO JUU KAKA

Anonymous said...

wacha weeeeeeeeeeeee
the great enheee!