Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Jul 1, 2011

PICHA ZAIDI ZA SHEREHE YA KUMUAGA RAMSEY NOUAH...

Akipata juice








Patcho Mwamba na Lulu


Lulu na mdau pekee wa RJ COMPANY na KANUMBA THE GREAT FILM mheshimiwa Ino Barchard


Location manager Afande Kiuno na Lulu


wee Lulu kila picha upo???


Patcho,Ino,Samm ma light


Safi saaaaaaana..

9 comments:

Anonymous said...

huyu mtoto anapenda kujinadi

Anonymous said...

Kitoto kidogo bado kinanuka maziwa ya mama lkn mambo yake lol lulu umezidi hebu jiheshimu hata kidogo lol unatutia aibu wanawake wenzako kha aaarrrgggg

Anonymous said...

Hujatulia ww lulu unahitaji maombi

Anonymous said...

Naona Lulu alikuwa anatamani picha na "lover boy" ila amekosa maana jamaa ni expensiveee. Utaishia kupiga na hao hao wengine picha nao mpaka ulipie.

PAM said...

mi ndo sitaki hata kumuona huyu mtoto embu kanumba msimoe dili hii malaya inayonuka maziwa ya mama mpk atakapojirekebisha, kwani hata kama aana fani ya kuigiza bado hajui hata kufikiria lolote,so kwa herufi kubwa MSIMPE DILI LOLOTE.

Anonymous said...

....ni kidonda ukishiriki utakonda.... wapi ray na johari na wengineooo.....................

Anonymous said...

nyinyi wte waongo sna munamuonea wivu mwezenu nyny mmezeeka amuwezi kuuza sura na sura znu zimejaa mikorogo ndo mana munamuonea wivu talulu uza ndo muda uwo

Anonymous said...

Jamani kila mtu na maisha yake kwanini mnasakama lulu? kawakosea nini? kama tabia mbaya ni zake nyinyi haziwahusu na je nyie mko safi au mnapenda kusema wenzenu lol..!!

ACHENI MAJUNGU

Anonymous said...

huyo lulu kawatia aibu nahis hapo alienda kwa yake ila masikin alikosa chance ya kupiga picha na huyo mista maana angepata chance poz lake silipatii picha