Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

May 17, 2011

KAJALA MASANJA ASIMAMA KAMA GENEVIEVE NNAJI KWA RAMSEY

Katika movie hii msanii Kajala ndiye anayecheza kama mpenzi wa Ramsey hivyo wasanii wengi location wamempa jina jina la Genevieve kutokana na kwamba Ramsey Nigeria movie nyingi hucheza na Genevieve Nnaji...... Wakisubiria action....


Scene imeanza....


Wakifanya rehasal katika scene ingine....


Kajala akimcheka kidogo Ramsey kutokana na maneno ya kiswahili jinsi alivyokuwa akiyatamka


Kajala na Ramsey katikati ya scene wakiitendea haki movie....

THE GREAT NA RAMSEY NOUAH KAZI IKO HIVI LOCATION.......

Ramsey na The great katika scene....


kazi ikiendelea


tizama mwenyewe...


niceeeee...


hadi rahaaaaa,,hayo ni mavazi tu ukiiona scene yenyewe utafurai


Ramsey na cameraman Zakayo wakitizama picha katika monitor...


hii ni moja ya scene zilizotia fora location.....

May 14, 2011

KANUMBA THE GREAT FILMS YATEMBELEA OFISI ZA TRAVEL PARTNER-DAR ES SALAAM

The great nikiwa na crew yangu katika production tumetembelea ofisi ya travel partner inayohusika na mambo mbalimbali ikiwemo utalii na ukodishwaji wa magari aina zote chini ya mkurugenzi wake Big boss ERICK MASHA,mbali na kufanya shooting hapo lakini pia kujifunza mambo kadhaa yanayoendeshwa hapo. Kushoto ni Patcho Lukusa Mwamba,mkurugenzi Erick Masha,na The great pioneer songya mbeli babetakalikofi teh ncha ya kisu haipigwi konzi.......


Tukiwa tumeegemea moja ya gari linalotumika katika utalii


Travel partner number ONE....


kwa pamoja tukawakilisha....


Erick na Jack Pentzel


Production manager wangu na make up artist wangu wa siku nyingi Maya (kamanda) na mkurugenzi wa Travel partner Erick Masha....

May 12, 2011

IKO HIVI TENA........

Ramsey Nouah na The great on the set


Ramsey akikamua vilivyo.....


Kutoka kushoto ni Msungu,Tashy na Beka washiriki ktk movie hii


Wakisubiri scene zao location.....


Kazi ikiendelea...


Kwa mapozi tu ya scene utampenda Ramsey....


mmmh???


Patcho mwamba nae yumo humu akiwa na Ramsey


Swahiba alinitembelea location kuonana na msanii Ramsey ambaye amekuwa akimhusudu kwa mda mrefu na wakapata mda wa kubadilishana mawazo kidogo...


Hapo Maya akimsihi Ramsey akabadilishe nguo upesi tayari kwa kuanza scene yake.......

THE GREAT AWA BALOZI WA OXFAM NCHINI....

Shirika la kimataifa linalosaidia kuondokana na umaskini duniani la OXFAM kwa hapa nyumbani nimechaguliwa kuwa balozi wake nashukuru kwa uteuzi huu naahidi kufanya kazi pamoja kwa nidhamu na ushirikiano.....asanteni. The great pioneer.....


Logo yake....

MERCY JOHNSON ANYOA KIPARA KWA NAIRA MILLION 5

Msanii wa movie Nigeria Mercy Ozioma Johnson inadaiwa kalipwa pesa za ki nigeria 5 million kunyoa kipara kabisa ili acheze movie ya Heart of a widow inayorekodiwa Enugu Nigeria na kampuni ya Magic movies,kwa mujibu wa Ramsey Nouah pesa hizo ni sawa na dollar 35,000 au 37,000 piga mwenyewe kwa ki Tz,,,Ilibidi nimuulize Mercy mwenyewe huko Nigeria kama ni kweli lakini aligoma kunihakikishia ni pesa kiasi gani kalipwa lakini majibu yake yalikuwa hivi......''OOOOH Kanumba....yess i got paid well but that was not about money but the script which is awesome.''hiyo ndio ilikuwa sehemu ya ujumbe wake...tizama picha chini.... katika pozi


kipara tayari


akinyolewa sasa


ahahahhaha Mercy??


Katika pozi,dada huyu nimeshafanya nae kazi mbalimbali kwao Nigeria na hapa Tz kama Dar to Lagos,My sister,Cross my sin na The director....

May 8, 2011

TANGAZO...

May 5, 2011

PATCHO MWAMBA AFIWA NA BABA YAKE MZAZI HUKO CONGO

Msanii mwenzetu Patcho Mwamba Lukusa jana amepatwa na msiba mzito wa kuondokewa na baba yake mzazi aliyekuwa akiishi Congo Mzee LUKUSA MATADI VALENTIN,sisi kama wasanii na rafiki zake tulikatisha shooting na kwenda nyumbani kwake kinondoni kumpa pole kwa msiba huu....Mungu azidi kumpa amani na faraja ya kweli yeye na familia yake..... Patcho na watu mbalimbali


Tukipiga stori nae za hapa na pale....


POLE SANA SWAHIBA PATCHO....

IKO HIVI.......

Tukiingia....


karibu....


Ramsey akishukuru kwa ukaribisho


Maya akimpaka make up tayari kwa shughuli kuanza...


Uhusika wake haumruhusu kuvaa heleni sikioni hivyo ikabidi atoe....


Maya akiwa makini kabisa kuhakikisha aharibu CV yake....


Kwa umakini sawia....


Majadiliano kuhusu location na setting zake....


Majadiliano kuhusu script tukipitia kila mstari.....


Loh wacha nipate chapati kidogo.....


Akinisaidia kudirect baadhi ya scene huku akihakikisha kama script inafatwa ipasavyo......