Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Oct 13, 2011

TANGAZOOOOOO

3 comments:

Anonymous said...

kweli kaka umeishiwa mpk unaweka tangazo humu ndani haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,tena la bongo star search ambalo kila sehemu lipo jamani km hamuwezi si mfunge blog wewe na kaka yako ray ila mnanichekesha sometymes

Anonymous said...

hey guy!! naona blog yako imelala sana sio ile ya mwanzo nilikuwa nikiifahamu mkuu anakushinda hata ray wake up!

Anonymous said...

Unajua ndugu yetu mi nakushangaa sana ivi wewe kila mara unarusha jambo 2natoa maoni hauonyeshi ushirikiano kama umelipokea au utalifanyia kazi sasa huoni kama una2vunja moyo??embu angalia kwenye facebook ma superstar wanarusha vi2 vyakujenga na wanashukuru nakutoa support sasa nyie mtakuwa ivo mpaka lini???hata kama ubize kila m2 yuko bize.