Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Oct 27, 2011

THIS IS IT......MY NEW NEW BRAAAAAAAAAAND CAR.....ITS LAND CRUISER-LEXUS-V8 a.k.a millioni 78,..THIS IS IT.

SHUKRANI ZANGU ZA DHATI KWENU MASHABIKI WANGU WA KWELI NA WENYE UZALENDO NA KAZI ZA WASANII WA NYUMBANI,MFALME WETU WA MBINGU NA DUNIA JEHOVA AZIDI KUTUBARIKI,KUTUONGOZA NA KUTUSIMAMIA, HEKIMA NA MAARIFA ISITUPUNGUKIE HASA TULIO WAKE MAANA KATUAHIDI KUWA VINARA NA SI MKIA. KWA UPANDE HUU


FRONT....


NDANI KWA MBELE


KWA NYUMA KUNA SCREEN UNAWEZA KUTIZAMA MOVIE


MUONEKANO WA NDANI


MZIKI NILIOUFUNGA.NI RHUMBA KWA KWENDA MBELE..


KWA NYUMA.


THIS IS IT,,,,,,

37 comments:

Anonymous said...

hongera sanaa tena sana kanumba, pia kikubwa kumbuka kujenga. mama yako mzazi umemjengea nyumba? we mwenyewe nyumba umejenga? mdau wako DSM

Anonymous said...

hongera kanumba kwakununu gari nzuri sana ubarikiwe sana lakini natakakujua na nyumba umejenga? maana gari bila nyumba kidogo haileti picha na kama umejenga unanyumba tayari tunaomba utuonyeshe mafans wako kama unavyotuonyesha gari ni hayo otherwise unafanya vizuri

Anonymous said...

brand new na namba kaka ama imekaa sana showroom?

happy said...

mwana wane umeulaaaaaa11!!!! safi sana,mie ni mdau wako wa blog yako! yaani aiwezi pita wiki sijangia kwenye blog yako la sivyo nitaumwa. ukipenda kutembelea blog yangu ni happyinafricamz.blogspot.com
napenda kukuona ukiendelea kimaisha.

Rik Kilasi said...

Kanumba gari ni nzuri sana wacha nioshe kinywa kwamba umemlipa swahiba wako lol.Ila mziki huo ulioweka sio 400W? nategemea gari kama hio iwe na mziki wake mzito kama sivyo basi humo inatakiwa 3000W!.Hongera tho

mama 2 said...

Hongera sana bro! mbona unatuonyesha magari tu! tuonnyeshe na ka mjengo basi ili tutoe pongezi zilizokamilika.

Tinah said...

hongera sana Kanumba kwa kununua Gari ila sijaelewa ni kwama mnashindana na Ray au? anyway mungu azidi kuwaongoza lakini sina uhakika kama unajenga au unabadilisha magari tu... kama haujaanza kujenga nakushauri ujenge ila kama umeanza uzidishiwe pia mimi ni Fans wako sitopenda kusikia siku moja umefilisika eti hauna pa kuishi pia nazidi kukushauri Elimu ni Muhimu usiache kujiendeleza zaidi maana div.2 ulionayo inafaa sana kujiendeleza kama upo bize tafuta hata chuo chenye masomo ya jioni angalau usome elimu ya form six hasa kwa mwanaume sio kabisa....mimi nakujua toka jitegemee japo nilikutangulia darasa moja lakini ningekushauru uongeze Elimu pia huku ukiendelea kukaza buti katikaFani yako wengi wanakupenda leo lakini utakapoanza kuishiwa watakupa kisogo kaa chini ufikirie niwasanii au celebrity wangapi wa bongo walivuma lakini leo hawapo kabisa just take care of yourself,KAA CHINI think about your future...itakusaidia ALL THE BEST PAL...GOOD DAY!

Anonymous said...

Hongera kanumba, Mungu ni mwema, na ni vizuri itakusaidia pia hata kwa shughuli zako za kiugizaji hasa unapoigiza move inayoonyesha ufahari si unajua.
Rehema-Mbeya

Anonymous said...

sawa hongera tuonyeshe na nyumba uliyojenga

sophy said...

hongera kaka umempiga bao swahiba maana yeye amsema mil 60, mnajitahidi nyumba je? unakumbuka?

BQ said...

HONGERA SANA MA DIA KANUMBA JAMANI NIMEFURAHIO SANA IKIWA MIMI NI SHABIKI NO MOJA NA NI MPENZI SANA WA KAZI ZAKO NAPENDA NIJISIFU KUWA HUWA NANUNUA ORIGINO TU PINDI UKITOA TU MOVIE, HAYA NA HAYO MAGARI MMEAMBIZANA NA RAY NINI?BIG UP SANA AND WISH U GUD LUCK ALWAYS OUR ALMIGHTY GOD BLESS U ABUNDANT, MUCH LOVE XOXO

Anonymous said...

Big up brother! usafiri umeenda shule

Anonymous said...

dah! im speech less,ni movie tu au kunanmengine?hongera sana

Anonymous said...

yaani nyie wasanii mnanichekesha kweli juzi mwenzio naye katuonyesha lake leo wewe mnafanya mashindao au kueni watu wazima acheni mambo ya kitoto mpaka nimecheka maana enzi za utoto ukinunuliwa chupi mpya au undeskirt unanyanyua skirt juu hadi wakati wa mchezo wa rede ili mwenzako waone!kama umevaa mpya alaa!!!!!! mind your own life bana sio lazima kutangaza kwa watu but all in all hongera ila sio lazima kupublicise bana!ushauri tu mkuu!

Anonymous said...

ivi we na ray mnaigana au????????? huyu akifanya hivi huyu nae anafanya huyu akitoa hiki huyu nae anatoa anyway atlist ni vitu vya kimaendeleo and i hope mnalala sehemu nzuri i mean nyumba mana gari km hiyo afu unaishi machokoroni au na huna hata eneo lako binafsi its a shame

Anonymous said...

tumeona gari zuri ila mkumbuke na kujenga mana magari kila leo yanakuja mazuri zaidi ila nyumba asikuambie mtu kila leo kodi zinapanda ukipangisha c et kaka eeh uje ujenge uwezavyo huwezi jua ya MUNGU mengi leo unauwezo wa kufanya kazi kesho kesho kutwa huwezi ila ukiwa na nyumba zako uwongo my dear utapangisha utaingiza alot of money inategemea tu na nyumba ikoje!ila hongera mwaya.naamini utafanyia kazi maoni yangu sikupangii matumizi ya hela zako but ni maoni yangu au mtazamo wangu wako mdau vivian.

Anonymous said...

tumeona gari zuri ila mkumbuke na kujenga mana magari kila leo yanakuja mazuri zaidi ila nyumba asikuambie mtu kila leo kodi zinapanda ukipangisha c et kaka eeh uje ujenge uwezavyo huwezi jua ya MUNGU mengi leo unauwezo wa kufanya kazi kesho kesho kutwa huwezi ila ukiwa na nyumba zako uwongo my dear utapangisha utaingiza alot of money inategemea tu na nyumba ikoje!ila hongera mwaya.naamini utafanyia kazi maoni yangu sikupangii matumizi ya hela zako but ni maoni yangu au mtazamo wangu wako mdau vivian.

walter said...

Bro dats real nice car but for dat amount of money it was much enough to buy range rover vogue...checkout on dis link below
http://www.japanesevehicles.com/vehicle_details.php?vid=130274&lang=en

Anonymous said...

i really appreciate u guys, wewe na ray mtaendelea kuwa juu cku zote coz ni marafiki na wote mna wivu wa maendeleo na sio wivu na mabeef ya kipumbavu, keep it up brothers alwayz God is with u

Anonymous said...

kanumba bro mi naona yani hayo magari nini sio issue, kaka hivi una nyumba au unabaki kubadili magari ya kifahari .

Naisha said...

kanumba hongera kaka!Mshukuru mwenyezi mungu zaidi na zaidi,pia ongeza ufanisi na ubora katika kazi zako, ubunifu zaidi ndio chachu katika kazi zako za sanaa!vipi kaka uwanja unao tunaamisha nyumba au viwanja, kama bado jitahidi uwe navyo.

Esther kanda ya ziwa. said...

Kaka upo juu sana,hongera na Mungu wa mbinguni azidi kukubariki zaidi na zaidi, ili ufanikiwe mengine makubwa zaidi ya hayo.

Anonymous said...

Dah! Uko juu my brother mungu akuongoze

Anonymous said...

hauko juu sana bcoz u used to do thngs those done by ray.why usinunue aina tofauti?au kufanya kitu on ur own?au hadi afanye ray then ndiyo uige.u look like gals!shame on u.grow up!anza basi kutuonyesha na nyumba yako unayoishi+fenicha za ndani.

Anonymous said...

Naona mnashindana na Ray yaani mwenzio kaweka gari lake jipya na wewew umemjibu ila hongereni wivu wa maendeleo ila haya magari mnayaza wapi CCM manake hajaona nyumba zenu jengeni bwana

Anonymous said...

Naona mnashindana na Ray yaani mwenzio kaweka gari lake jipya na wewew umemjibu ila hongereni wivu wa maendeleo ila haya magari mnayaza wapi CCM manake hajaona nyumba zenu jengeni bwana

Anonymous said...

Naona swahiba kamwaga mboga we umeamua kuvunja jiko kabisa..CONGRATS,mwenyezi mungu azid kukuzidishia kaka yangu

Anonymous said...

sawa kaka mambo yako ss ndo ivo mungu amekuona, ndo umeingia ubia na mungu lkn kk unawakumbuka watoto yatima lkn, halafu lingine uoe ss jamani ili upate watoto ili waweze kurithi basi na pia kutumia jamani kh!

Anonymous said...

jamani kwanini watanzania tunapenda sana kuponda .. there is no way mtu akifanya kitu tuaache kuona kasoro.. kwani kuna tatizo gani wakinunua magari wote na ray au hata kuamua kuvaa sare.. tunachoona na kutakiwa kucomment ni achievement .. mtu amepiga hatua kwenye maisha mpongeze. anzeni kuwauliza manufacturers kwanini wanatengeneza vitu vingi kama kila mtu angetakiwa kuwa na uniqueness.

Anonymous said...

MNAIGANA!

squiner said...

achenu kuwaonea wivu wanaigana kitu gani!! kama ni marafiki wameamua kufanya mambo yao kwa pamoja yafanane kuna tatizo gani? kila siku kuwazungumzia vibaya lol wakifanya vizuri muwasifu jamani hata mara moja moja basi he! safi kwa wale wote walioshauri kuhusu nyumba hopefuly anajua anachofanya soon atatuonyesha nyumbani kwake ,
otherwise hongera sana kanumba keep it up fanya mabadiliko makubwa zaidi na zaidi!!! mungu akusimamie ishaalah

Anonymous said...

Whether it is a challenge or not,it is very constructibe and I am so so positive with it...yaani nimetoka kuvisit blog ya ray nimeona kitu cha vx,huku kwako lexus...aisee...u two are really taking the game to another level...!congrats

Anonymous said...

Acha watu waone wenyewe au hukuamini nini kama siku moja utamiliki usafiri wa gharama kiivyo mcawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe acha ushinyanga babu kujitapa kila kitu kina msimu wake itakula kwako otherwise hongera

Anonymous said...

WATU BWANA..ETI ANUNUE VOGUE JAMANI YE KALIPENDA HILO NYIE VIPI? OH UMEJENGA SIJUI NINI ITS NON OF UR BIZ NA NAJUA KANUMBA ANA AKILI ZAKE SIKU ATAWAONYESHA NYUMBA YAKE ALIOJENGA AU ALIYONUNUA ACHENI WIVU

Anonymous said...

Kanumba Hongera aisee.Ila wazungu wanasema Brand New Car sio Reverse New Brand Car.Ukiamua kutumia lugha ngeni ujue unachokiandika basi plse we ni kioo cha jamii.Kama hakipandi fanya tu kama mama kikwete.

Najua unaweza usipublish hii but its just 4 u and u r advancement. Peace;one love.Mola akujaalie zaidi

Anonymous said...

Ama kweli jasiri haachi asili, ANYWAY HONGERA!

Fununu founder said...

hongera mkaka