Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Dec 24, 2011

SALAMU ZANGU ZA X-MASS










Katika mikoa niliyotembelea na STARTIMES hii ilikuwa ni mojawapo ya matangazo ya Startimes.

4 comments:

Anonymous said...

kanumba jamani unapendeza kila kitu utachovaa kinakupendeza ila kitu kimoja tu nakushauri kaka yangu tafuta mke sasa umwoe maana umri haungoji usioe mke maarufu au star owa mke wa kawaida mwenye kumcha Mungu na awe na elimu ya kawaida unajua hata mama yako anapenda sana uwe na mke ila basi tu anataka aone wajukuu kutoka kwako fanyia kazi hilo kaka na mke mwema anatoka Mungu sali sana Mungu akupe mke mwema maana ukishaowa mke ndiye wa maisha yako kwa hiyo inatakiwa uwe careful kumchagua mke

Anonymous said...

ni kwel oa kk..namuuunga dd apo juu

babuyao@hotmai.com said...

Mm namuunga mkono dada,kanumba fanya uoe itazidi kukuongezea heshima.Ubarikiwe.

ramadhan kazi said...

brother mimi ni mtanzania ninaeishi hapa greece barani ulaya,kiukweli ninakukubali sana kiasii kwamba nashindwa kukuelezea.nimekua nikifuatilia kwa muda mrefu sana ufanisi wa kazi zako za sanaa.pleaze namba yangu ya simu ni 6940684471.naomba unipatie namba yako kaka ili niwe na mawasiliano natamani sana nijifunze vitu vimgi toka kwako.