Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Mar 29, 2012

DAH?AM I ADICTED WITH BBM???????????????






THIS IS HOW TWITTER AND BBM DRIVE ME.,SHOULD I STOP IT?????

16 comments:

Anonymous said...

ha ha ha u dont have to stop,,

Anonymous said...

kanumba nakupenda sana pamoja na kazi yako you know why becouse unamjua Muumba wako laiti wangepatikana vijana hata ishirini kama wewe hakika dunia ingekuwa nzuri sana maana wewe pamoja na umaarufu wako hujamsahau Muumba wako ni vigumu sana ktk dunia hii ya leo kumkuta kijana kama wewe tena ni star na bado anamkunbuka Mungu ni ngumu sana Mungu azidi kukutangulia na akulinde na mabaya akushindanie majaribu na akuwezeshe uzidi kumfuata yeye ktk njia ya kweli napenda sana maneno yako ya kumtanguliza Muumba wako usijali yasemwayo na walimwengu kwani mtu wenye matunda ndio hupigwa mawe usijali maneno ya walimwengu wewe chapa kazi yako halimradi hufunji sheria na humzulumu mtu ni unatafuta kwa jasho lako

Anonymous said...

umependeza sana,kanumba hasa hayo mashati hilo la kijani u luk mmmmwaaaa...........na video production iko pouwa.kip it up

mariam said...

nakupendaga tu.

Anonymous said...

kwakweli u better stop it sasa hapo kazi inasimama kdg au?????????

Anonymous said...

Kazi nzuri kaka kwa kuwa twajua huwa hufanyi makosa but ombi langu ni kama la wenzangu where is Batuli? Tunamuomba kwa kazi zako tafadhali sikiliza mashabiki wako ili tuzidi kufurahia kazi zako.

Anonymous said...

so long as it does not affect ur personal matters then i don't think if it is wrong

Anonymous said...

So long as it does not affect your personal matters then i dont think if it is wrong

Anonymous said...

wacha tu kaka fanya kazi kwanza tunataka kitu cha uhakika mzee big up bro!

Anonymous said...

Addicted to sio addicted with kama wewe unajisomeaga kama unavyo sema mambo madogo madogo ya grammar hutakosea bana unaniangusha!!!!!

sanke said...

uko juu bro!huwa nazipenda sana movie zako,keep it up

Anonymous said...

reduce tweeting and bbming bhana.coz according to da pics above t shows hw addcted u are and they consume ur tym.am ur number one fan.God bless u!

Anonymous said...

kama unaenjoy kuwa BBM na twitter wakati wa job na hauharibu chochote ni poa tu si tunachotaka ni vitu vizurv toka kwako...............mwambie bidada wolper yeye ni mrembo acjipodoe sana anatisha na hayo mawig wawe wanabadilisha sio mwanzo wa movie mpaka mwisho ni hilohilo moja thanx sana ,,,,,,,Glady-Morogoro

Mustapha MaDish said...

Najua huwa hauzingui uwapo mbele ya Camera!!

Mustapha MaDish said...

Poteza kaka mkuu!!

mamy dear said...

Kama vp ndugu uza cm nunua mchina mpk upate net work utakuwa umeshachoka kusubiri that I think itz gud idea guy