Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Dec 31, 2009

Buriani mzee KAWAWA (1926-2009)


Mzee Kawawa tutakukumbuka kwa mengi, kwa sisi wacheza filamu tutakukumbuka kama muasisi wa filamu wa enzi zile za zamani. Kati ya filamu alizocheza ni kama "MUHOGO MCHUNGU",  "MELI INAKWENDA, FIMBO YA MNYONGE n.k.
Kwangu mimi kama Steven Kanumba nitakukumbuka kwa heshima uliyowahi kunipatia mwaka juzi 2007 kwa kunialika kwako kwa kitafrija kidogo cha kunipongeza mimi kwa kazi zangu za filamu, hiyo ilikua ni heshima kubwa sana kwangu katika maisha yangu ya Sanaa. Mungu ailaze roho yako mahala pema peponi, Amina.

No comments: