Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Dec 20, 2009

Kutoka kwa Kanumba:

"....nilikuwa Mwanza katika uzinduzi wa Filamu ya watu wa huko huko Mwanza iitwayo Mr. Contractor, ambapo nilialikwa kama mgeni rasmi. Kweli vijana sasa hivi wanafanya kazi hasahasa katika wigo huu wa filamu nadhani tutafika mbali baada ya kipindi si kirefu", asemavyo Kanumba baada ya kuwasili kutoka Mwanza.