Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Dec 26, 2009

Mambo ya Christmass jamani Kanisani


unaweza ukaanza kujiuliza hapa ni wapi? Hapa ni kanisani AIC Chang'ombe siku ya Christmass, watu walijitokeza wengi sana katika ibada siku hiyo mpaka ikaamuliwa Ibada ifanyike nje kutokana na kwamba ndani kulikuwa hapatoshi

No comments: