Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Feb 5, 2011

THE GREAT AKUTANA NA MHESHIMIWA BALOZI MWANAIDI SINARE MAAJAR KATIKA MKUTANO WAKE NA WATANZANIA WAISHIO WASHINGTON METRO.

Nikiingia mkutanoni huku nimeongozana na Mzee Yusuf Kalala(kushoto) na Dada Sharifa Kalala

DR.Hamza Mwamoyo(katikati) akiwa na mkewe(kulia)walikuepo

The great nikiteta jambo na mheshimiwa balozi(marekani) MWANAIDI SINARE MAAJAR

Maongezi yakawa more serious mpaka tukasahau kama tulikuwa tunapiga picha,maongezi yalihusu filamu zetu nyumbani jinsi ya kuziinua zaidi na mikakati aliyoipanga mheshimiwa juu yake.

Picha zikaendelea

Amisa a.k.a miss temeke,kanumba na mdau katika picha.

11 comments:

Anonymous said...

Hongera kwa ulipofikia, ila as a star or celebrity you need a stylist hujui kuvaa wewe na RAY, mavazi yako hayaendani na kiwango chako ulichofikia, tafuta mshauri wa mavazi. hilo tu mengine hongera

Anonymous said...

Kaka hili koti yaonesha unalipenda sana au ndio kauka nikuvae!

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) said...

Tumepata balozi mpenda watu. Kila Mtanzania sasa yuko huru sasa kuwasiliana na ubalozi na kuweza kusikilizwa. Inafurahisha sana!!!

Anonymous said...

Uko juu bro, nakufagilia saaaaaaaaaaaaaana

Anonymous said...

Kama umepungua kidogo, au...

Anonymous said...

Hivi nyie wachawi mbona hamsikii kila kukicha hajui kuvaa mtavimba majishingo kwa wivu.

Anonymous said...

Wewe unajua kuvaa! au ndo mchelemchele na moka!

Anonymous said...

Wewe unayekazania mavazi vua zako unazoona zinafaa avae. Mbona unapenda ku-bore watu na kauli yako ya mavazi. Unataka avaaje na kama ndizo alizonazo je unataka avae nini sasa, Au atembee uchi ndio uone kuwa anavaa sasa

Watu wakitoka kiheshima mnasema hawajui kuvaa, wavae mlegezo nido mujue kuwa wanajua kuvaa??????????????????

Mimi unanibore sana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

"Hongera kwa ulipofikia, ila as a star or celebrity you need a stylist hujui kuvaa wewe na RAY, mavazi yako hayaendani na kiwango chako ulichofikia, tafuta mshauri wa mavazi. hilo tu mengine hongera"

USHAURI:

Hebu muonyesheni nguo zenu za ndani nafikiri ndicho anachokitaka huyu kutoka kwenu RAY & KANUMBA.

Tumemchoka hivi ni lazima comment yake itokee hapa anatuchefua bwana mpotezeeni huyu.

Anonymous said...

hongera sana k na mungu akuzidishie na we acha usukunuku na roho mbaya mbona we unavaa sanda toka basi tukuone

Anonymous said...

hongera sana k na mungu akuzidishie na we acha usukunuku na roho mbaya mbona we unavaa sanda toka basi tukuone