Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Feb 5, 2011

PICHA YA WIKI....

Mzee Yusuf Ka'lala&Sharifa Ka'lala(MR&MRS KA'LALA)

3 comments:

Anonymous said...

kanumba ukiwa super star tafadhali usitutie aibu kwny mavazi chonde chonde kwnda kote ulaya unavaa kikongo man? utavaaje shati silver na koti gold mbona mbishi kwny mavazi?yani ujanja wa bure wee bonge la mshamba, learn kimamtoni sio kitwanga pepeta wewe sio mkongoman bwana usituchefue. unaelekea wewe much know sylvia shari na ujanja wote ameshindwa kukubadilisha kweli? na mashati yenu ya satin km mnasimamia harusi wewe na ray na yule shoga tino. wasanii wote hamjui kuvaa kabisa bora richie yuko simple mr shalbaro anajua pamba

Anonymous said...

Inaelekea wewe Anony wa 9.15 am Unamtaka Kanumba? lakini umechelewa kama Mwanaume Kanumba hatumii Maembe ya kuchemsha nakama Mwanamke safisha nyeti zako alafu tafuta bwana mwingine tayari tuna wifi yetuuuuuuu.

Do said...

Mmependeza wenyewe , Mwenyezi mungu awajalie maisha marefu.