Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Mar 29, 2011

HII NDIO THE SHOCK na SHAZ SADRY......











25 comments:

Anonymous said...

Huyo dada ni kifaa cha nguvu, bonge la shepu

Anonymous said...

Kudadadeki mtoto ka2lia haswa yani nyuma mashaaaaaaaaaaalah hapa the Great mate lazima yakutoke walai

Anonymous said...

jamani kanumba huyu msichana kakupendezea yaani kama awe mkeo.its lovely for sure.mimi ni msichana lakini huyu msichana mzuri

Anonymous said...

Hi Stev

Kaka naona huyu dada ana kufaa zaidi hata kwa maisha yako hebu pata picha kama hiyo harusi ni ya kweli mmependeza kweli achana na wanawake masuper staa hawafai jaribu kumuangalia huyu

Anonymous said...

i can see u like wedding scene why?
why don't u get married for real?
i've been follow most of your movies..like johari,more than pain,young billionnaire and the shock,all those movies have wedding scene.any way hongera,u are doing well

Anonymous said...

katuliaaaaaaaaa kaka uyooooo kifaa..tunataka wifiiiiiiiiiii jamani mpaka lini tutacheza harusi..aaahhhhg..uyo uyo kaka steve..

dada sennyyyyyyyyyyyyyyy..
dk.

Anonymous said...

kanumba nimeangalia movie deception nimecheka sana wewe mtundu,mungu akusaidie mfanikiwe

Anonymous said...

Kanumba sasa unaniangusha umeenda ulaya uliko wacheza filamu wote hizo wardrobe malfunction hazitakiwi kwenye muvi zako. Huyo kaka aliyevaa shati la pinki iliyo kooza kazini wakati ni shati la kwenye harusi kwa kweli inaharibu uhalisia, inajulikana wazi mashati ya rangi nyeupe, grey, blue na yenye stirpes na yenye rangi zisizo waka wala kukooza sana ndio standard za ofisini

Anonymous said...

Mhhh... we Kanumba ! ni picha ndio inaitwa "the shock" au huyo Binti anaitwa "THE SHOCK" ?? walio-comment mwanzo wameshanisaidia kufafanua...Nadhani umenielewa ndugu yani...oooh..Mtoto wa watu amejaaliwa!..MAASHAALLAH !!Tunasubiri movie kwa hamu.... UKO JUU...

Anonymous said...

Eeh Nilisahau kukupongezeni....nimekubali RANGI za mavazi yenu..Blue-Blue...Black/White...oouh,ndio ugonjwa wangu...'SO NICE'

Anonymous said...

mbona anafanana na Wema...Kanumba kwa weupe....kudadadeki...lakini ni kifaa!

Anonymous said...

KAKA UPO LIKIZO MBONA U UPDATE BLOG YAKO?????????????????INABOA.

Anonymous said...

This girl she hooooot hands down

Anonymous said...

jamani msichana mzuri sana.....

Anonymous said...

sitanii wala nini jamani kanumba naomba umuoe huyo dada akupendezea sana nawewe unajua kuchagua wasichana wazuri sijui unawatoaga wapi kanumba si upate jiko sasa unasubiri mpaka uzeeke? kama ni life umeshakula na pia starehe haina mwisho ukipata mwenzie muoane heshima yako itazidi mara dufu nakutakia kazi njema lakini hilo ulifanyie kazi muda unaenda hausubiri na magonjwa ni mengi mama yako anataka kuona mjukuu wake kutoka kwako ni hayo tu otherwise unafanya vizuri god bless you

Anonymous said...

msukuma unapenda vyeupe hubadiliki amakweli jasiri haachi asili ila kaka ukitaka mke usitafute star watakuumiza kichwa nakukubali sana mzee

Anonymous said...

kweli tanzania tumebarikiwa kwa mengi.jamani huyu shaz ni mzuri kupindukia.mimi sitachangia la kuoa maana tabia yake siijui na pia najua mko kazini ila kama litatokea hilo sitashangaa maana she is just gorgeous.hands down!

mimi said...

as anonymous say, shady anafaa sana kuwa wako wa milele,sio tunakuchagulia ila ukweli ndo huo. tunasubiri kwa hamu hiyo filamu sipati picha itakuwaje.

Anonymous said...

shaz ni mrembo jaman,nataka kujua hilo shera alikuwa anajaribu duka gani kwa kifupi linapatikana wapi,nimelipenda nahitaji kwenye haruc yangu,hongera sana kanumba

Anonymous said...

jamani binti sijui nimkosoe nini ni mzuri sana na anaonekana amelelewa kwenye maadili amecheza vizuri ni sinema ambayo unaweza kutazama na mtu yeyote na isikukere kuliko wale wanaojiachia achia tu kuonyesha mipaja yao mbana binti kacheza sinema ya mapenzi na inatazamika wasanii mnaouza sura igeni mfano wa shad kukaa uchi sio ndio kuonyesha kuwa unajua kucheza ni kujidhalilisha.

Anonymous said...

kaka kwenye picha ya mwisho ya wewe na Shaz..unaonekana kutamani mpaka basi hahahahaaa..but niiice!!

Anonymous said...

i love it

Samson said...

Kaka huyo mtoto weka ndani isee, ni mkali ile mbayaa.. japo sijui tabia yake!ila ni chombo isee alafu ukioa usimfanyishe kazi ya filamu kabisaaaaa.. mjini hapa!

Anonymous said...

Nimeona kazi yako imetulia.THE SHOCK,iko poa.Pia napenda jinsi unavyo jitahidi kucheza na watu ambao niwachanga kisanaa ilikuwainua,kwahilo nakupa big up Bro.

Anonymous said...

kanumba hilo jicho hapo picha ya mwisho lol mhhhhhhhhhhhh usijedumbukia humo mara ah ni dem wako tena