Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Mar 1, 2011

PICHA ZAIDI ZA MPIRA KATI YA BONGO FLEVA FC NA BONGO MOVIE FC

Swahibaaaaaaaaaa

bongo movie kipindi cha mapumziko

Wadogo zangu Mlela ,mdau na Hemed

The great na Joti

Haya sasa jamani...

Kipemba mnamkumbuka?

William Mtitu na Swahiba

Joti na JB

Bongo movie fc

bongo fleva fc

Ally Kiba kijana anacheza sana mpira huyu alitutesa sana










Patcho Mwamba na Hassan Moshi nao walikuepo

Swahiba akipiga chenga ya nguvu uwanjani....tizama mwenyewe...

4 comments:

Anonymous said...

mmmhh ila ally kiba jamani huyu kaka ni hooot..

Albert said...

Mechi hii nilitamani sana kuiona ila kwa sababu niko mbali sana na Tanzania sikufanikiwa. Ila kama ilirecodiwa, please nitumie copy na mimi niburudike. Mambo yalikuwa funny sana Bro, nikiiangalia wachezaji wenyewe wakiwa wamevaa jezi yaaani nilicheka saaaaaaaaaaaaaana.
Albert
Australia.

Anonymous said...

Yaaaani nimecheka kweli nikimuangalia joti, masanja na jb nacheka hadi mbavu zinauma hawa watoto wanavituko sana hadi uwanjani

Baraka John said...

dah mambo kama haya yawe yanatokea mara kwa mara kwani yanajenga mengi si sawa na tunavyofikiri