Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Apr 16, 2011

JIONI TULIALIKWA NYUMBANI KWA WAZIRI MKUU NA MAMA TUNU PINDA..

Ilipofika jioni tulipata mwaliko wa kutembelea nyumbani kwa waziri mkuu mwaliko tuliopata toka kwa mke wa waziri mkuu mama Tunu Pinda huko dodoma lakini pia tukapata mda wa kupata chakula cha jioni pamoja..... Shilole na The great baada ya kushiba
mama Tunu Pinda na swahiba
Jack wolper nae akafata
Odama nae
Richie nae akafata
JB na mama Tunu Pinda
The great nami sikuwa nyuma kuweka kumbukumbu
Steve Nyerere kama kawaida yake akaweka comedy zake
Picha ya pamojaaaa kwa umoja

No comments: