Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Apr 16, 2011

ZIARA YA WASANII WA BONGO MOVIE DODOMA...

Jumamosi iliyopita wasanii kadhaa wa movie Tz tulielekea dodoma kuonana na waheshimiwa kwa ajili ya kujadili mambo kadhaa juu ya tasnia yetu ya filamu na mambo mengine zaidi tuliyotumwa kupeleka na wasanii wenzetu.......baada ya kufika tu dodoma tulikaribishwa na mheshimiwa mbunge wa Ifakara Abdul Mteketa... Shilole na Odama nao walikuepo
The great na Mh.Abdul Mteketa
Mdau na Jb..
Nyama ya nundu tulijipendelea
The great na Steve Nyerere katika story za hapa na pale
Katika maisha yangu napenda sana kucheka..

No comments: