Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Jul 13, 2010

INTERVIEW MBALIMBALI ZETU JUU YA ZIFF

Tumekuwa na interview mbalimbali katika radio na tv juu uwepo wetu wasanii wa filamu bongo hapa katika tamasha la ZIFF,Hapa tukiwa ZCTV ila upande wa radio yake. swahiba akihojiwa

The great na Gervas kasiga tukihojiwa redioni

Mahojiano yakiendelea

Baada ya mahojiano kuisha sasa ilikuwa ni zamu ya kuingiza baadhi ya matangazo ya vipindi mbalimbali vya radio hiyo

Swahiba nae akitimiza wajibu

No comments: