Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Jul 19, 2010

TAMASHA LA ZIFF LAISHA,MSANII KIDUMU AVUNJA REKODI

Kama tulivyopewa nafasi ya kipekee kuongea machache wakati wa ufunguzi wa tamasha hili la kimataifa ndivyo tumepata fursa ya pekee kuongea machache wakati wa kufunga tamasha hili la ZIFF,Wasanii tuliitwa mbele na kusema machache jinsi tulivyofurahishwa na tamasha la mwaka huu maana limetukumbuka wasanii wa nyumbani tofauti na matamasha ya nyuma,lakini pia kuweka siku maalum kwa ajili ya filamu za nyumbani na kuzipa tuzo

Toka tamasha lianze The great nilikuepo hadi mwisho wake nimeshuhudia wasanii mbalimbali wa mziki wakitumbuiza vizuri ila kwa msanii KIDUMU toka Kenya kavunja rekodi kwa burudani hakika alikonga nyoyo zetu.

Msanii Ray wa zanzibar na mkewe walikuepo

KIDUMU akipiga drum na kuimba hakika jamaa anaweza hasa kwa live..hatari

Hapa aliacha drum akaja mbele na vijiti vya drum akipiga huku akiimba wimbo wa SITOPENDA TENA

Joyce kiria na Monalisa wakicheza mziki uliokuwa ukipigwa na KIDUMU,Wakisaidiwa na mashabiki wengine.

Picha ya pamoja mimi,mzee chilo,swahiba na mdau

Hata mimi nilishindwa kujizuia ikabidi nicheze tu jamani..

Hii ni suruali yangu niliyovaa siku hii na naipenda sana.

2 comments:

Anonymous said...

Im prian tony,jaman kanumba YOU A REAL keep it up,and God wl bless u if u seek hm wt all ur heart,he wl olways put you on top n succesfull mo than ua ryt nw,niko hapa kila cku as ya fan.ciao

Unknown said...

mmmh! kaka mimi hiyo suruali yako 2!