Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Jan 2, 2011

SALAMU ZA MWAKA MPYA TOKA KWA OMOTOLA JALADE















9 comments:

Anonymous said...

salamu ziko wapi?????

Anonymous said...

SHE'S BB! BEAUTIFUL AND GOT BRAINS!

Anonymous said...

huyo ndio mumewe huwa namzimia sana huyu kaka kwa picha namkbali sana.

Anonymous said...

Woow, jamani huyo ndi mume wake. Tafadhali kanumba nijuze, maana they look good together

Hadj Drogba "mwana chelsea" said...

Waheshimiwa ni wazi kwamba huyo ni mumewe hamuoni walivyovaa kwa "kumechisha" hizo rangi nyekundu?mnadhani imetokea tu kwa bahati mbaya?no ni kwamba walipanga kwenye hiyo occasion wavae hivyo

Anonymous said...

Na kweli KANUMBA inabidi uwakaze kitako na kuwajuza hao wana blog (mi si mmoja wao lakini)wanaotaka kujua kama ndio mumewe ama la

Anonymous said...

kanumba naomba nijuze huyu kaka ndiye mume wa Omotola? nampenda sana huyu kaka jaman hasa uigizaji wake.....

Anonymous said...

jamani nampenda sana Chidi Mokeme looh...

Anonymous said...

huyo sio mumewe ni mcheza sinema mwenzie anaitwa chidi mokeme klama sijakosea, hapo itakua labda izinduzi wa filamu waliyocheza wote ila sio mumewe