Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Nov 18, 2010

PICHA ZAIDI ZA OFF SIDE


















5 comments:

Anonymous said...

huyo mama hapo namkubali. kweli off side moto wa kuotea mbali

Albert said...

Naona mambo ni moto-moto siku tu ndoo zinakawia. Yaani tuko tayari 200% kupokea mzigo huo wa OFF SIDE kwa moyo wote Kaka...
Vipi Uncle JJ iko wapi? Tayari imeshaingia mitaani au vipi?
Albert
Western Australia.

Anonymous said...

Huyo dada hapo juu makaburini kafanana na Marehemu Amina Chifupa ni nani?

naima said...

hiyo picha ya mwisho uyo johari nn,duh off side itakuwa kali sana.

Anonymous said...

Kanumba umetishaaaaaaa....yan upo juu kaka mungu akuzidishie kipaji zaid na zaid..ila kaka vp unaoa lini????????