Kampuni inayosambaza movie mbalimbali bongo ya Steps entertainment wiki iliyopita ilifanya party kubwa ya kufunga mwaka na kuwaalika wadau mbalimbali wa filamu nchini.Sherehe hii ilifanyika kigamboni katika hoteli ya Sunrise.
The great nikipokelewa na mkurugenzi mkuu wa kampuni hiyo ya Steps Ndugu Dhiresh.
The great nikipokelewa na mkurugenzi mkuu wa kampuni hiyo ya Steps Ndugu Dhiresh.











No comments:
Post a Comment