SWAHIBA WANGU THE GREATEST ATEMBELEA LOCATION KWANGU LEO KUONA KAZI INAVYOKWENDA.
Mkurugenzi wa GRM PRODUCTION Ndg GABRIEL MAKUBA nae alikuepo kusaidia mambo kadha wa kadha katika kuhakikisha movie yangu inakuwa na ubora wa kisasa.kama unavyoona hapo picha yangu ukutani ni moja ya kazi alizonisaidia upesi katika scene za ofisini kwangu na kuhakikisha kunakuwa na picha ukutani ili kujenga uhalisia.
Mara baada ya swahiba kufika nilimkabithi kiti cha u director ili anidirectie scene mojawapo hapo nae alikubali kufanya hivyo,hii ni kampeni tuliyoianzisha ya kutembeleana location ili kutiana moyo na kuifanya tasnia ya filamu kusonga mbele kwa ubora na kwa umoja hasahasa tukifahamu kuwa"There is nothing can't be done if we raise our voice as one"
2 comments:
Kanumba uko very childish, period. Grow up
UPO JUU KANUMBA, MUOMBE MUNGU AZIDI KUKUFUNGULIA, NA PIA AKUPE REHEMA ZAKE UWEZE KUA NA HEKIMA KATIKA ULICHOKIPATA IKIWA NI PAMOJA NA MAISHA YAKO YA NDOA KUA SALAMA, UMPATE WA KWELI KUTOKA KWA MUNGU,AMBAYE BILA SHAKA ATAKUA AMETENGENEZWA KWA AJILI YAKO HIVYO INAKUPASA UOMBE HILO MUNGU AJIFUNUE KWAKO AKUONYESHE, MAANA NI KWA NEEMA KUJUA HILO,
mUNGU AKUBARIKI NA AKUKUMBATIE!
DADA- FROM TANGA
Post a Comment