Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Mar 31, 2010

DR.CHENI AJA KIVINGINE KABISA KATIKA MOVIE YAKE MPYA YA ONE BY ONE

Hii si ya kukosa jamani mbali na kuwa muigizaji mzuri sana katika tasnia yetu ya filam hapa Africa mashariki lakini ni producer mzuri wa filamu hii si ya kukosa kaonesha uwezo mkubwa sana pata nakala yake halisi yaani original na si fake saidia kunyanyua maisha ya wasanii wako TZ.

Thea na Cloude kama kawaida yao uwezo wao huwa ni mkubwa sana katika acting na ni wakongwe katika industry hii.

Cloude na Cheni katika moja ya matukio katika movie hii

Sajuki a.k.a baba Wastara kaonesha kiwango cha juu sana na hili nalijua maana nimeshafanya nae kazi katika Hero of the church.

Hapa katikati ya scene lazima tuukubali ukweli kuwa jamani vijana wetu wanajitaidi sana

Unaweza kudhani kisu kimezama kabisa kumbe ni mambo ya ma utundu tu ili kuwapa radha nzuri mashabiki wake

Hongera sana Dr.Cheni The great na blog hii twakupa hongera kwa kazi nzuri hakika penye nia pana njia.

3 comments:

Anonymous said...

hiyo movie inaelekea itakuwa balaa maana hizo picha utazani kweli hongera Dr Cheni


Amina Zangira

Anonymous said...

dr cheniiiii mic u

Anonymous said...

DR CHEIN UKO JUU MUNGU AKUBARIKI SANA