Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Aug 21, 2010

BAADA YA KUMALIZA KAZI SASA IKAWA NI WAKATI WA KUPONGEZANA KWA KAZI NZURI NDANI YA CARNIVORE-NAIROBI

Yaani nyama zilikuwa haziishi kila nikimaliza sahani nashtukia ingine hiyo

Production team nayo ilikuwa mstari wa mbele kuhakikisha sahani zinateketea

story za hapa na pale zikiendelea

The great walaaaa sina maneno mengi ni mimi na sahani tu

Ebu tizama meza

1 comment:

Anonymous said...

Kwani mliishusha ile bendera? kama hamjaishusha sahani ikiisha nyama inaletwa ingine, ukiishusha na mchezo unaisha...