Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Aug 18, 2010

THE GREAT AMALIZA MORNING ALARM KWA KISHINDOOOO

MWISHO WA UBAYA NI AIBU

BAADA YA MAKEKE YOTE SASA KWA PILATO

TUKIPANGA NAMNA YA KUPITA MPAKANI MWA TZ NA .....

BUNDUKI ILIBIDI ZIFANYE KAZI YAKE

THE GREAT KATIKA KULENGA SHABAHA

MWANAUME KAZINI KATIKA MORNING ALARM

THE GREAT NA BENY BRANCO

TUKISIKILIZIA MATOKEO BAADA YA KUMNALIZA KAZI YA KUMIMINA RISASI

HUU NDIO ULIKUWA MSAFARA WA MAGARI YETU KUELEKEA LOCATION KISARAWE..

6 comments:

Anonymous said...

Hii picha hapanshaka itafunika kama kawa

Anonymous said...

Kazi nzuri kaka, tunaisubiria iingie sokoni tujipatie nakala zetu.

Albert said...

Kusema kweli nilijaribu kukufatilia jinsi ulivyoigiza tangu enzi zile za " Neno", "Ulingo",...ila sijawahi kukuona kwenye comedy. I think this is gonna be a great job and I m looking forward to watching this comedy.
Keep up bro, I love your work...
Albert
Western Australia.

Anonymous said...

hop itakuwa nzuri lakini nadhani haupendezi uki-act ukatili. anyway, acha nisubiri

Anonymous said...

hop itakuwa nzuri lakini nadhani haupendezi uki-act ukatili. anyway, acha nisubiri

Anonymous said...

miwani ya kuimbia rap hiyo sio ya kuigizia movi.