Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Dec 25, 2010

ASET YAMFANYIA HITMA MAREHEMU ABOU SEMHANDO

Katika ofisi za ASET ndipo ilipofanyika hitma ya aliyekuwa mwanamziki na meneja wa bendi ya African stars(twanga pepeta) Abou Semhando,ambayo ilihudhuriwa na watu mbalimbali maarufu. Dua ikisomwa

Mzee Mapili nae alikuwa na machache ya kusema

Swahiba,The great na Fargason tulikuepo

Watu mbalimbali

Mkurugenzi wa ASET mama ASHA BARAKA akihojiwa na wana habari

Mambo ya msosi

1 comment:

Anonymous said...

Dua ya kumuombea marehemu ni maelekezo ndani ya dini na dini ni mfumo mzima wa maisha hivyo tunavyomuombea mwenzetu aliyetangulia maana yake ni tunamuomba Mwenyezi mungu amsamehe dhambi zake na amuweke mahali pema na amuingize peponi, ndio maana yake hiki ni kitu serious..... lakini nashangaa siku hizi khitma zinafanywa kibitozi. Hapo hapo katika hiyo dua kuna taratibu na mambo mengi yanayomghadhibisha Mwenyezi mungu yanafanyika.....
kweli lengo hasa tutalifikia au ni kutaka kuonyesha ubishoo katika kila kitu hebu tuchague vya kuvifanyia masihara na si katika haya mambo ya dini hasa Uislam.