Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Jan 5, 2010

Drogba alichukua maujiko ile kishenzi...


Hapa tuwaona wachezaji wa Ivory Coast wakiingia kwenye basi kwa ajili ya kuondoka muda mfupi baada ya kutoka katika mahojiano na waandishi wa habari katika chumba cha Habari Uwanjani Taifa. watu waligoma kuondoka mpaka wamuone Drogba akiondoka. alipotoka tu walipiga watu kelele Drogba!... Drogba!!... Drogba!! ama kweli ulikuwa ujio wa aina yake....

No comments: