Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Jan 5, 2010

Tuache masihala huyu jamaa ana nguvu...


Didier Drogra, mwenye jezi namba 11 akiwa makini kusubiria mpira kutoka wingi ya kulia. hivi hebu jaribu kuangalia we mwenyewe hapa mdau, huyu beki wetu mwenye jezi namba 5 kama sikosei (kushoto) anamfikia Drogba kwenye bega!! sasa anza kulinganisha ukubwa wa mwili... we acha

...kwa harakaharaka nilipoitembelea timu ya Cote D'voire walipofikia kwenye Hotel aliyokaa Bush (Kempinski/Kilimanjaro Hotel) nilikuta jamaa anapiga Plate 4 za Ubwabwa na Juice jagi moja yeye peke yake,
wachezaji wetu plate 2 tu mtu chali. lakini mi naamini tumejifunza kitu fulani kutoka kwa hawa jamaa.

ila...... mpira tumewaonesha! achilia mbali na kagoli alikotufunga Drogba.

No comments: