Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Mar 26, 2010

MASTAA NI WENGI KTK MOVIE HII PIA UBORA NA TEKNOLOJIA VIMEZINGATIWA SANA.

Tino nae yumo akiwa na Aunty



Monica Malaki nae ndani kwa sana tu.

Nice Chande nae kakamua kuliko kawaida

Kwa mara ya kwanza nitaonekana nikicheza pamoja na Flora Nvungi



Hapa ilikua ni patashika huyu dada kumbe ni mkali balaa katika kuact.



Toka nimeanza hii sanaa ya film nilikuwa na hamu na ndoto ya kuja kuact na wewe The great hakika leo ndoto zangu zimetimia ni maneno yake Flora Nvungi star wa Bongo Dar es salaam


Kazi ikiendelea

Hakika Patcho Mwamba ni mwamba imara katika acting kafanya vizuri sana katika movie hii pia ni mtu mwenye ushirikiano sana.

Ameen...

Scene za nje ambazo pia huitaji magari mazuri kulingana na story

Crain ikifanya kazi yake huku Lusubiro akiiongoza kunifata







Hakika najivunia kuwa muigizaji

Katikati ya scene nikiitendea haki scene na story kwa ujumla

Hii ni gari niliyotumia katika baadhi ya scene kama mnavyoona hapo imepambwa kwa ajili ya harusi huku vijana wa kazi wanaoshoot kama walinzi wangu wakilinda....kwa jina la Mungu hii movie itavunja rekodi ya zote jina bado kapuuuuuuuuuuni.

3 comments:

Fadhy Mtanga said...

Big up kaka. Nishaandaa pesa ya kuinunulia.

Anonymous said...

ook kila la kheri kaka.


disminder.

Anonymous said...

uko juu kanumba naisubiri kwa hamu hiyo movie.mungu azidi kukuongoza na kukupa afya.




Amina Zangira.