Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Sep 18, 2010

ATHARI ZA KUENDESHA GARI HUKU UNAONGEA NA SIMU





















10 comments:

Anonymous said...

We Kanumba, toa ONYO kwa watu kuwa hizo picha ni mbaya kutazamika.Ili mtu anaposcroll down aelewe kuna utata!!!

Anonymous said...

Wewe Kanmba si jui Kanumba, wenzako wanapoonyesha picha kama izi huwa wanatoa onyo kwa watazamaji. Sio kwasababu una picha tu unaonyesha onyesha tu

Anonymous said...

u r so stupid how can u post such things without any warning? next time think before you act

Anonymous said...

Jamani wewe umenistua sana, ungeandika pichaq zifuataqzo ni za kutisha tafadhali usiangalie kama una moyo mwepesi, sasa kama mtu anaangalia na wattoto unataka wanetu waote, aaghhhhhhhhh

Anonymous said...

Sasa nyie mnapaniki nini? maana mkiambiwa kwa maneno hamsikii kilichobaki ni kuwaonyesha live labda mtaelewa, kanumba wala hajakosea may be mtaogopa mkiona na kujirekebisha. KEEP IT UP KANUMBA"""""" SO GOOD""""

Anonymous said...

ulitumwa uangalie hebu tutokeeni hapo kuna asiyejua kufa? the thing is

kekue said...

Kwa ushauri tu kanumba, coz nakuheshimu sana, ONDOA HIZI PICHA.

Anonymous said...

Masikini hujasoma. Hujastaarabika. Weka WARNING/ONYO ili watu wajue kuhusu hizi picha mbaya. Watoto wakiangalia wanaweza kupata matatizo. Staarabika bro!!!

Anonymous said...

oooppppppph! jamani mh! unaweza kutokula nyama mieze kadhaaa...aaaaaaaaagggggggh.

jenipher hollo said...

Mnaosema ndiyo hamjaelimika kwani amekosea nini wanadamu hawana hili wala lile