Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Jan 28, 2010

Kombe la Mataifa ya Africa... Nigeria Kinbonde kwa Ghana




Timu ya Taifa ya Ghana imefanikiwa kuifunga timu ya taifa y a Nigeria katika hatua ya Nusu Fainali kwa jumla ya Bao moja kwa bila na kutinga fainali.
Kama ni mpira aiseee, nigeria wamejitahidi kwa kadri ya Uwezo wao lakini Peter Odemwingie alionekana kupoteza nafasi nyingi za wazi pamoja na mwenzie Obafeni Martins

Hata hivyo baada ya mpambano kuisha Kocha wa Ghana Milovan Rajevic alijitambia kwa kuwaambia wachezaji wake awali kwamba, "Leo hatuendi kucheza kandanda la kuvutia, bali tunaenda kucheza kwa ajili ya matokeo". na kweli wamepata matokeo mazuri ya kuingia Fainali.

1 comment:

Anonymous said...

i like thiz my broder napenda footbaLL SANA NOW WE CAN B TOGETHER.