Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Sep 2, 2010

GAME 1ST QUALITY TZ LTD YAJA NA DON'T CRY 4ME.

Rose Ndauka kazini katika movie hii


Hemed a.k.a Jembe akiwa kazini

Shooting ikiendelea



Production manager Maya

Aunty na Bi Tumaini nao wamo humu ktk movie hii kali

kazi ikiendelea

Rose akidakwa na Lusubiro mara baada ya kuanguka ili asiumie


Umati wa watu wakishuhudia kazi inavyokwenda

Gwantwa akisubiria action aanze

3 comments:

Anonymous said...

Huu mzigo unaelekea utakuwa mkali sana maana naona mastaa karibia wote wapo, Kanumba na wewe utakuwepo?

Mdau wa film zako

Anonymous said...

Uzuri wa movie ni hadithi.Kama hadithi ni nzuri na director mzuri basi na movie itakuwa nzuri.

Anonymous said...

Sawa kaka tunaisubiri kwa hamu.