Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Jun 27, 2011

TAMASHA LA ZIFF LILIVYOFANA ZANZIBAR...

Steve nyerere,Odama,Jacque Wolper wakifuatilia tamasha


Jb,Cloud nao walikuepo


Kanumba,na Steve Nyerere tulikuepo


Aunty Ezeckiel


Hashim Kambi na Natasha


Muhogo mchungu na Mama mjata walikuepo


Sehemu ya mitambo na nyuma yake wahudhuriaji


Burudani toka Senegal


katikati ni Baby Madaha


Kutoka kushoto ni Mzee Chilo,Sameer na Sajni Srivasta toka Pilipili entertainment


1 comment:

Anonymous said...

aisee Kanumba, JB Anastahili tuzo hiyo, maana amekuja juu sana, JB haigizi, bali anavaa uhusika live, na anatendea kazi scene zote, kikubwa ambacho nataka kumfagilia ni kwamba, hana pozi kabisa, nina film yangu nimeiandaa, nikaona nimshirikishe, nilipomwambia wala hakunibishia, akaniambia nitafute tuongee vizuri, tofauti na msanii mmoja hivi (jina kapuni) nilipompigia simu tu!alinivyodoa sana, but hata hivyo namshukuru Mungu kwakuwa nitafanya film hii na Jb, nina imani hata nikimuona hatakattaa maana mapokezi yake tu! yanaashiria mema kila siku