Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

Apr 24, 2010

NIMEKUBAMBA SIJAKUBAMBA

Juzi nilipofika location maeneo ya GIRAFE HOTEL nilikutana na rafiki yangu Richard akirekodi kwaya fulani,nami nikampongeza kwa kazi yake nzuri maana kwa sasa anaendesha shughuli zake mwenyewe kwa kutumia vifaa vyake hasa hasa kwa kukumbuka kuwarekodi watumishi wa Mungu. The great na Richard au baba Joshua


Richard kazini



Richard kazini huku nikimwangalia

No comments: