Star Times

Star Times

Mercy Beauty Parlour

Mercy Beauty Parlour

May 29, 2010

Juma tano iliyopita usiku wa mwafrica club bills

Twanga pepeta kama kawaida yao walikonga nyoyo

wazee wa filamu kama kawaida tuliandaa meza maalum kwa ajili ya kumkaribisha dada yetu aishie marekani washington dada Sharifa Kalala akiwa na mmewe mzee Yusuph Kalala

mzee kalala na dada sharifa wakilitizama sebene la twanga vizuri

cheni,swahiba,the great tukiwasindikiza dada sharifa na mzee kalala nje baada ya kushiba burudani ya twanga pepeta

6 comments:

Anonymous said...

mmmh kwa raha zenu jamani

Anonymous said...

HIV WEWE BABU YAKO KAFA HATA KWENDA KUZIKA KUMEKUSHINDA KWUTWA NZIMA KWENYE MAKBALU

Anonymous said...

HIV WEWE BABU YAKO KAFA HATA KWENDA KUZIKA KUMEKUSHINDA KWUTWA NZIMA KWENYE MAKBALU

Anonymous said...

He kumbe Bills ndo mastaaa wa movie za kibongo wanashinda huko ok

Anonymous said...

MIMI NASHANGAA.WATU WAMEFIWA LAKINI....HALAFU HUO UDADA UMETOKEA WAPI?AU NDIYO HUO UNDUGU WA KULAZIMISHA? AU NDIYO YALEYALE YA KAKA KANUMBA... KAKA KANUMBA....FAMILIA ZENU HALISI HAMZIZUNGUMZII. ULIMBUKENI TU HUO.

Grace Urembo said...

DU MMEJITAHIDI KWELI HADI KUANZISHA JARIDA LENU,! HONGERA SANA.